Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Na tutajenga mijumba ya kifahari our dream houses yani πTutaenda kujenga mbinguni nyumba za kudumu π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tutajenga mijumba ya kifahari our dream houses yani πTutaenda kujenga mbinguni nyumba za kudumu π π π
Jumba likiwa na margaden , matree , mayflower , flowing water na small beautiful animals wakirandaranda π πNa tutajenga mijumba ya kifahari ourb dream houses yani π
Namie nimemjibu kulingana na yeye alivyomjibu huyo jamaa. Mana Ni Kama amemuonyesha kuwa yeye alipata akiwa chini ya huo umri. Pia na kutoa funzo kuwa umri sio mafanikio. Kuna watu Wana hela kuzidi wazazi ama babu zake.Mkuu mkianza kushindana au kulinganisha vitu, basi mtakuwa mnakosea Sana.
πKila mtu Ana jikuna ana poweza
πVipato vya watu havilingani
πKila mmoja ana malengo na vipaumbele vyake
Mkuu nakufahamu kiasi, uko vizuri kiuchumi. Nakumbuka jinsi ulivyoshare kuhusu suala la kukaa Kama mwezi1 ndani if iam not wrong.Namie nimemjibu kulingana na yeye alivyomjibu huyo jamaa. Mana Ni Kama amemuonyesha kuwa yeye alipata akiwa chini ya huo umri. Pia na kutoa funzo kuwa umri sio mafanikio. Kuna watu Wana hela kuzidi wazazi ama babu zake.
Wala sio mashindano mie Nina karibu miaka 68 na nipo kwenye upangaji nakaribia kurudi kijijini huko kwetu.
Kabisa mkuu, we ishi maisha ya mapito .. Makazi ya kudumu yapo mbinguni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28] Nakuambia nyumba si itakuja tu kwanini tuforce jamani?
Umechanganya intelligent investor ,wewe sie ndie role model wa Warren buffet , Abraham Nani anaitwa . Na like kitabu chake Cha value investor. Hebu naomba tuwe connected Mana Naona Kama we can share or we share something in common.ila mie nimejikita kwenye speculation or cfdMkuu nakufahamu kiasi, uko vizuri kiuchumi. Nakumbuka jinsi ulivyoshare kuhusu suala la kukaa Kama mwezi1 ndani if iam not wrong.
This wasn't necessaryUlichelewa mno Kuna dogo langu alihamia kwake akiwa na 19yrs old na aliishia la tano Ila ana hela chafu. Hapo unasemaje
Maisha yana kuchelewa? Pia, kwa nini unajilinganisha na watu wengine?Mimi nilijenga nikiwa na miaka 25 nikajua nimechelewa baada ya kuona classmates wenzangu wamejenga kabla yangu.
Atadownload...Unafoka peke yako au?
Tuoneshe picha za nyumba tuhamasike
Shule ulimaliza na miaka mingapi??Mimi nilijenga nikiwa na miaka 25 nikajua nimechelewa baada ya kuona classmates wenzangu wamejenga kabla yangu.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈποΈββοΈπ¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π€ΌββοΈπ€ΌββοΈπ€ΌββοΈπ€ΌββοΈπ€ΌββοΈYesu Mwenyewe mpaka keshokutwa yupo kwa Baba yake .
Kwanza Duniani tunapita .... Tusipeane stress
π π π
Form 4 miaka 18. Sasa sijajua umeuliza shule level gani labda darasa la saba, form six ama level gani mkuu.Shule ulimaliza na miaka mingapi??