Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Mkuu nilipomaliza tu form four nilipewa dili fulani bandarini kulikuwa na ndugu yangu pale upande wa uhasibu. Nikapiga pesa ya fasta then kuna rafiki yangu alikuwa na biashara ya spea za mabasi pale Ubungo terminal ilikuwa inalipa sana nikawekeza vijisenti kidogo nikapata faida ya fasta ndo nikafanye zoezi la ujenzi mkuu.

Baadae ndo nikaendelea na masomo yangu baada ya kuweka mazingira sawa. Kwa ufupi tu baada ya kutoka bandari nilipewa shavu jingine JNIA nikapiga piga kazi ndo nikaona niendelee na masomo mkuu.
Watu wachache sana wanaopata bahati kama yako mkuu,
mshukuru sana Mungu na Hongera sana[emoji2937]
 
Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. [emoji3] [emoji3] [emoji3]!

Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
Mkuu kwenye ukweli huwa nasema tu. Ila baada ya kufunguliwa milango ya maisha sikuwa mjinga nilikuwa na mwanangu mmoja hivi pale bandari alikuwa mtoto wa mbunge na waziri ndiyo alikuwa mshauri wangu hasa kwenye masuala ya fedha.

Tulikulia mtaa mmoja hivyo yeye alitangulia kula shavu la ajira pale nilivyoenda mie tukawa ofisi jirani so muda mwingi tulikuwa tunaonana.
 
Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. [emoji3] [emoji3] [emoji3]!

Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
Mwanzoni nilikuwa natumbua pesa kama sina akili nzuri ila baadae nikaanza kuweka savings benki na kwingineko.

Bahati nzuri mie sio mtu wa pombe wala sijui hata ladha yake ikoje ila tu kutumia na washkaji zangu ambao walikuwa wanywaji wazuri sikuwa bahili.

Nilikuwa na uwezo wa kwenda bar na wanangu na mademi zetu nikawapigisha pombe na kiti moto mwanzo mwisho halafu mie nikaishia soda ama zile juice za boksi kubwa za azam na nyama choma basi.
 
Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. [emoji3] [emoji3] [emoji3]!

Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
Siku hizi umekuwa boda boda?[emoji849][emoji849]
 
Yesu Mwenyewe mpaka keshokutwa yupo kwa Baba yake .

Kwanza Duniani tunapita .... Tusipeane stress

😅😅😅
Na kama tunapita hatuwezi jenga nyumba njiani 😂
 
Mkuu nilipomaliza tu form four nilipewa dili fulani bandarini kulikuwa na ndugu yangu pale upande wa uhasibu. Nikapiga pesa ya fasta then kuna rafiki yangu alikuwa na biashara ya spea za mabasi pale Ubungo terminal ilikuwa inalipa sana nikawekeza vijisenti kidogo nikapata faida ya fasta ndo nikafanye zoezi la ujenzi mkuu.

Baadae ndo nikaendelea na masomo yangu baada ya kuweka mazingira sawa. Kwa ufupi tu baada ya kutoka bandari nilipewa shavu jingine JNIA nikapiga piga kazi ndo nikaona niendelee na masomo mkuu.
Hongera kwa bahati hiyo Mkuu tupe hayo mashavu na kina sie ambao hatujapata wa kutushika mkono kama ww..tunazeekea kwenye rent houses ingawa hatujakata tamaa
 
Back
Top Bottom