Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
😅😅😅 Karibu nijikojoleeAmka unaota mkuu😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 Karibu nijikojoleeAmka unaota mkuu😆
Watu wachache sana wanaopata bahati kama yako mkuu,Mkuu nilipomaliza tu form four nilipewa dili fulani bandarini kulikuwa na ndugu yangu pale upande wa uhasibu. Nikapiga pesa ya fasta then kuna rafiki yangu alikuwa na biashara ya spea za mabasi pale Ubungo terminal ilikuwa inalipa sana nikawekeza vijisenti kidogo nikapata faida ya fasta ndo nikafanye zoezi la ujenzi mkuu.
Baadae ndo nikaendelea na masomo yangu baada ya kuweka mazingira sawa. Kwa ufupi tu baada ya kutoka bandari nilipewa shavu jingine JNIA nikapiga piga kazi ndo nikaona niendelee na masomo mkuu.
Kwani amesema anashindana na mtu kujenga?Ulichelewa mno Kuna dogo langu alihamia kwake akiwa na 19yrs old na aliishia la tano Ila ana hela chafu. Hapo unasemaje
Pamoja sana mkuu.Watu wachache sana wanaopata bahati kama yako mkuu,
mshukuru sana Mungu na Hongera sana[emoji2937]
Mkuu kwenye ukweli huwa nasema tu. Ila baada ya kufunguliwa milango ya maisha sikuwa mjinga nilikuwa na mwanangu mmoja hivi pale bandari alikuwa mtoto wa mbunge na waziri ndiyo alikuwa mshauri wangu hasa kwenye masuala ya fedha.Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. [emoji3] [emoji3] [emoji3]!
Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
Mwanzoni nilikuwa natumbua pesa kama sina akili nzuri ila baadae nikaanza kuweka savings benki na kwingineko.Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. [emoji3] [emoji3] [emoji3]!
Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
Ndo hivyo mtu anakwambia kajenga, kaangalie hiyo nyumba sasa.Ukute ramani ya nyumba iko kama madarasa...korido reefu huku na huku vyumba...maccm bwana
Siku hizi umekuwa boda boda?[emoji849][emoji849]Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. [emoji3] [emoji3] [emoji3]!
Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
It wasnt necessary at all. Some niggas cant let others take the spotlight even for a sec, it has to be all about themThis wasn't necessary
Huyo ana hasira za kuona Rais kakutana na MboweUnafoka peke yako au?
Tuoneshe picha za nyumba tuhamasike
Na kama tunapita hatuwezi jenga nyumba njiani 😂Yesu Mwenyewe mpaka keshokutwa yupo kwa Baba yake .
Kwanza Duniani tunapita .... Tusipeane stress
😅😅😅
Hongera kwa bahati hiyo Mkuu tupe hayo mashavu na kina sie ambao hatujapata wa kutushika mkono kama ww..tunazeekea kwenye rent houses ingawa hatujakata tamaaMkuu nilipomaliza tu form four nilipewa dili fulani bandarini kulikuwa na ndugu yangu pale upande wa uhasibu. Nikapiga pesa ya fasta then kuna rafiki yangu alikuwa na biashara ya spea za mabasi pale Ubungo terminal ilikuwa inalipa sana nikawekeza vijisenti kidogo nikapata faida ya fasta ndo nikafanye zoezi la ujenzi mkuu.
Baadae ndo nikaendelea na masomo yangu baada ya kuweka mazingira sawa. Kwa ufupi tu baada ya kutoka bandari nilipewa shavu jingine JNIA nikapiga piga kazi ndo nikaona niendelee na masomo mkuu.