Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
ππππππSiku hizi umekuwa boda boda?[emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππSiku hizi umekuwa boda boda?[emoji849][emoji849]
Kufokafoka kunaingiaje humo mkuu
Hela chafu ni kuanzia kiasi gani?Ulichelewa mno Kuna dogo langu alihamia kwake akiwa na 19yrs old na aliishia la tano Ila ana hela chafu. Hapo unasemaje
Bavaria hebu acha drama smt Ni masihara.Hela chafu ni kuanzia kiasi gani?
Nataka nijue kwa standards zenu hela chafu zianaanzia kiasi gani?Bavaria hebu acha drama smt Ni masihara.
Ilo swali uliloniuliza Ni subjectivity or biasness ya mtu Hakuna objectivity
Unazingua ,mie sio si unit ya kuseti standard za hela chafu,kila mtu Anazo si unit zake.Nataka nijue kwa standards zenu hela chafu zianaanzia kiasi gani?
I need to be inspired.
Usikate tamaa mkuu ipo siku utakuwa unachotamani kuwa kikubwa ni kuwa na ukaribu na connection za wadau tu.Hongera kwa bahati hiyo Mkuu tupe hayo mashavu na kina sie ambao hatujapata wa kutushika mkono kama ww..tunazeekea kwenye rent houses ingawa hatujakata tamaa
Sawa mkuu, ila hawa utakaowabakiza pindi ukitangulia mbinguni ni vyema ukawaachia sehemu ya kufunga alau turubali siku ukisemapa zako kwenda kujenga nyumba yako huko mbinguni.Tutaenda kujenga mbinguni nyumba za kudumu [emoji28][emoji28][emoji28]
Nje ya mada
Naomba kufahamu naona watu wengi wanaweka grill madirishani na milangoni kabla ya kupaua sabbu ni nn? Na je ni muhimu kufanya hivo au ni mapendekezo tu?
unaakili sana.pesayako kubwa yakwanza ukiipata ukaichezeaπ π π π aloo utakuja kujuta nakuona watu niwachawi.Mkuu nilipomaliza tu form four nilipewa dili fulani bandarini kulikuwa na ndugu yangu pale upande wa uhasibu. Nikapiga pesa ya fasta then kuna rafiki yangu alikuwa na biashara ya spea za mabasi pale Ubungo terminal ilikuwa inalipa sana nikawekeza vijisenti kidogo nikapata faida ya fasta ndo nikafanye zoezi la ujenzi mkuu.
Baadae ndo nikaendelea na masomo yangu baada ya kuweka mazingira sawa. Kwa ufupi tu baada ya kutoka bandari nilipewa shavu jingine JNIA nikapiga piga kazi ndo nikaona niendelee na masomo mkuu.
Kumbe Asante na je ukiamua kuweka hivo ukiacha Kwa miez km nane bila kupaua Haina athari yoyote??Ni kwa usalama wa nyumba kama tayri umepitisha waya za umeme n bomba za maji. Na pia kuogopa watu wasifanye choo au gest wakakuachia nuksi zao. Pia kuna majilani wenye roho mbaya wanaweza kufukia ulozi wao.
hahhaaaaaaaaa kule juu mdau kasema tusipeane stress kwanza Mwana wa Mungu mwenyewe yuko kwababa yake mbinguni ahaaaaaHongera...
Ukimaliza kujenga moja, utajipata unatamani kujenga na nyingine tena...
hello bestito upo nimekukumbuka sanaHizo nyumba sasa eeewh[emoji848][emoji848]
Kumbe forex haisaidii kabisa. Hadi leo huna kibandaNamie nimemjibu kulingana na yeye alivyomjibu huyo jamaa. Mana Ni Kama amemuonyesha kuwa yeye alipata akiwa chini ya huo umri. Pia na kutoa funzo kuwa umri sio mafanikio. Kuna watu Wana hela kuzidi wazazi ama babu zake.
Wala sio mashindano mie Nina karibu miaka 68 na nipo kwenye upangaji nakaribia kurudi kijijini huko kwetu.
Wapi huko sophy27 ? Mbona naona wengi baada ya kupaua ndio wanaweka grill madirishani na milangoniNje ya mada
Naomba kufahamu naona watu wengi wanaweka grill madirishani na milangoni kabla ya kupaua sabbu ni nn? Na je ni muhimu kufanya hivo au ni mapendekezo tu?