Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Mkuu mkianza kushindana au kulinganisha vitu, basi mtakuwa mnakosea Sana.
[emoji117]Kila mtu Ana jikuna ana poweza
[emoji117]Vipato vya watu havilingani
[emoji117]Kila mmoja ana malengo na vipaumbele vyake
Nina miaka 50, Januari 2023 nimefanikiwa kununua kiwanja.
Tusichekane, chanel za mkwanja hazifanani.
 
Kumbe Asante na je ukiamua kuweka hivo ukiacha Kwa miez km nane bila kupaua Haina athari yoyote??

Haina shida ila make sure ukiweka tumia square pipe ndio imara na bora zaidi.wapige ile red oxide kwa wingi ili chuma kisipate kutu. Kuhusu muda kuna jilani hapa kaweka kama ulivyo sema ww huu mwaka w 3 hv. Na ziko poa
 
Inategemea umejenga nyumba ya aina gani, gharama gani na eneo gani. Sio kwamba wengi wanashindwa kujenga au hawana hela ila hawataki kujenga vibanda vya kujikinga na mvua, kujenga eneo mvua ikija utafute ngalawa na nyumba paa limenyanyuka kama mnara wa babeli!
Duh!..
 
Ningeshangaa kama siri ya mafanikio yako sio kupachikwa vitengo vyenye hela. 😀 😀 😀!

Connection ni muhimu sana mi sijui hata nitajenga lini ila mpango huo upo panapo uhai. Wacha niendelee kula vichwa na hii Fekon yangu.
Utajenga tu mkuu ukiamua...hujachelewa hata kidogo.
 
Nje ya mada
Naomba kufahamu naona watu wengi wanaweka grill madirishani na milangoni kabla ya kupaua sabbu ni nn? Na je ni muhimu kufanya hivo au ni mapendekezo tu?
Hayo ni mapendezo tu. Unaweza anza unavyotaka wewe either kuweka grill au kusubiri upaue
 
Sasa usiseme wenzako wamechelewa kulinganisha na mwingine jiangalie wewe kwanza
Wewe umedandia komenti mkuu hebu Anza kuanzia nyuma ndio utajua Ni kwa Nini nimeandika ivyo namie sio kuwa Ni mtu wa majigambo. Na ndio Mana nimeandika ivyo ili uridhike
 
Hongera sana. Nimejenga nyumba nikiwa na 28 years old. Kuna nyingine naomba niinalize kabla sijavuka hiyo 35 years old. Mungu ni Mwema maisha ni mipango. .
Kama mimi tu ingawa haijaisha ila nmehamia kigumu
 
Back
Top Bottom