Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Niliweka nadhiri kwamba kabla ya kufikisha miaka 35 hapa duniani lazima niwe nimejenga nyumba yangu na nimehamia kwangu, ndoto hii imetimia tarehe 23/2 nimehamia kwangu na kila nikiamka asubuhi nazunguka na taulo kiunoni nyumba nzima huku nikipiga mswaki na kufokafoka.

Wale mnaosema kujenga ni kuzika pesa endeleeni kubanana na wahindi kwenye kota za chumba na sebule na joto hili kali la Dar ni shida tu.

Kwa heri upangaji na sasa karibu mashambulizi ya kwenye biashara.
ungetuambia namna ulivopambna na kuijenga iyo nyumba ili na sis tupate njia za kukufata mkuu
 
Niliweka nadhiri kwamba kabla ya kufikisha miaka 35 hapa duniani lazima niwe nimejenga nyumba yangu na nimehamia kwangu, ndoto hii imetimia tarehe 23/2 nimehamia kwangu na kila nikiamka asubuhi nazunguka na taulo kiunoni nyumba nzima huku nikipiga mswaki na kufokafoka.

Wale mnaosema kujenga ni kuzika pesa endeleeni kubanana na wahindi kwenye kota za chumba na sebule na joto hili kali la Dar ni shida tu.

Kwa heri upangaji na sasa karibu mashambulizi ya kwenye biashara.
Kufokafoka hahaaaa
 
Niliweka nadhiri kwamba kabla ya kufikisha miaka 35 hapa duniani lazima niwe nimejenga nyumba yangu na nimehamia kwangu, ndoto hii imetimia tarehe 23/2 nimehamia kwangu na kila nikiamka asubuhi nazunguka na taulo kiunoni nyumba nzima huku nikipiga mswaki na kufokafoka.

Wale mnaosema kujenga ni kuzika pesa endeleeni kubanana na wahindi kwenye kota za chumba na sebule na joto hili kali la Dar ni shida tu.

Kwa heri upangaji na sasa karibu mashambulizi ya kwenye biashara.
Mimi nimeweka nadhiri lazima niwe financially free by 34 years sasa ndio nipo 30
 
Niliweka nadhiri kwamba kabla ya kufikisha miaka 35 hapa duniani lazima niwe nimejenga nyumba yangu na nimehamia kwangu, ndoto hii imetimia tarehe 23/2 nimehamia kwangu na kila nikiamka asubuhi nazunguka na taulo kiunoni nyumba nzima huku nikipiga mswaki na kufokafoka.

Wale mnaosema kujenga ni kuzika pesa endeleeni kubanana na wahindi kwenye kota za chumba na sebule na joto hili kali la Dar ni shida tu.

Kwa heri upangaji na sasa karibu mashambulizi ya kwenye biashara.
Your too late ,other was before 25.
Anyway it is the matter of mindset
 
Back
Top Bottom