Ahadi ya kujenga nyumba yangu ya kuishi kabla ya miaka 35 imetimia

Hongera sana lakini muombe Mungu akupe hekima wakati wa kuzungumza na wakati wa kuwasikiliza watu wengine
 
Hongereni sana wote mlio fanikisha kujenga nyumba before 30yrs. Kweli nyie ni wababe.
 
Mbona umepanga tu ...umesahau kujenga nyumba yako mwenyewe.😁
 
Jf kila mtu kafanikiwa humu


Jf hakuna mnyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…