kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Rais Samia akiwa njiani kuelekea Dodoma alisimama katika Halmashauri ya Wilaya Chemba kusalimiana na wananchi na kusema "Ahadi yetu kwenu tutarudisha kuwatumikia wananchi na kuondoa changamoto zinazowakabili hii ndio ahadi yetu kwenu"-Rais Samia Suluhu.
Changamoto zinazowakabili watanzania haswa ni upatikanaji wa huduma za kijamii, Ajira kwa vijana, Miundombinu, Usalama wa raia na uchumi. Katika kipindi kifupi cha uongozi wake Rais Samia amejitahidi kugusa kila sekta inapata maboresho ili kumsaidia mtanzania wa hali ya kawaida.
Changamoto zinazowakabili watanzania haswa ni upatikanaji wa huduma za kijamii, Ajira kwa vijana, Miundombinu, Usalama wa raia na uchumi. Katika kipindi kifupi cha uongozi wake Rais Samia amejitahidi kugusa kila sekta inapata maboresho ili kumsaidia mtanzania wa hali ya kawaida.