The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
- Thread starter
-
- #21
Nashukuru sana,ila bado tunaishi ngoja tuone mbele,kukwama kupo tu,kuna mahesabu nilikosea ndio nikaingia uhitaji,sasa jamaa nimezoea hata yeye aliwahi kupata shida na nilimpa kiasi kikamuinua,kwangu yamenipata amepiga tukio,lakini najua atakuja kwa shida.Mkuu pole nakushauri usitegemee watu sana kwenye shida watakuvunja moyo,
PIli hamna mtu yoyote mwenye wajibu kukusaidia isipokuwa wewe na huwezi jua labda alishasaidia ila msaada wake ukageuka mwiba kwake.
Tatu ni nzuri hajakusaidia inauma lakini na wewe ingekubidi ulipe fadhila.
Na mwisho Mungu analeta watu wa namna hiyo ili ufumbue macho ujue ni watu wa namna gani.
Asante mkuu,umeongea mema Sana🙏Tangu nazaliwa mpaka namaliza chuo yaani mpaka leo sijawai kuomba msaada wa fedha kwa rafiki wala kumkopa,Nina marafiki wengi ila naona ni watu ninao fahamiana nao sio kama unavyochulia ...
Mi nimejitegenezea formular nikikosa basi mmekula kwangu basi hustling zangu sio za kitoto ...kwa imani yangu kuomba omba ni laana na sio vizuri ni aibu kabisa ... kuhusu kulala njaa nishalala sana kwangu sio kesi haswa kipind nipo advance nategemea wazazi wakikosa ndo basi ila sijui niombe mshkaji, dada, kaka, shangazi,mjomba ,ba mkubwa au mdogo siwezi kabisa .
siku ukipitia hali niliyopitia,haya uliyoandika hapa utarudi kusema yabatilishwe.Tangu nazaliwa mpaka namaliza chuo yaani mpaka leo sijawai kuomba msaada wa fedha kwa rafiki wala kumkopa,Nina marafiki wengi ila naona ni watu ninao fahamiana nao sio kama unavyochulia ...
Mi nimejitegenezea formular nikikosa basi mmekula kwangu basi hustling zangu sio za kitoto ...kwa imani yangu kuomba omba ni laana na sio vizuri ni aibu kabisa ... kuhusu kulala njaa nishalala sana kwangu sio kesi haswa kipind nipo advance nategemea wazazi wakikosa ndo basi ila sijui niombe mshkaji, dada, kaka, shangazi,mjomba ,ba mkubwa au mdogo siwezi kabisa .
mimi imenipata,jamaa sitamsahau.Binaadamu wengi Huwa wanadhani Wana marafiki wa karibu na ndugu wanaowapenda sana lakini Hilo hubainika kuwa wadhaniavyo ndivyo sivyo mpaka pale siku Moja watakapo fikwa na shida/matatizo
Siaseme ukweli sasaSi kwamba hataki kukusaidia ila hana uwezo huo wa kukusaidia usimchukulie vibaya
Nina hili tatizo [emoji848]Kila mtu na maswaibu yake mwamba kuna wengine hawajui kukataa .Mi kuna Uncle wangu ukimwambie niazime elf 20 utasikia sawa badae kidogo uncle ,milioni 5 nayo ni hivyo hivyo utasikia nipe muda hii niweke kwenye account yako au.Lakini hatumi hata 100.
[emoji28][emoji28][emoji28]Hatari huyo mtu wanandugu tumeshamjua anakulaza mlango wazi hata umwambie na shida na milioni 15 atakujibu freeesh mpaka kufikia jioni itakua tayari.Sasa jiachie.
Pole mkuu ndio maisha unafiki ni mwingi kuliko uhalisia wa upendomimi imenipata,jamaa sitamsahau.
Umenikumbusha mbali Sana!!Kujitegemea kunaleta heshima sana,sema TU bas Kuna muda mambo yanakaba[emoji26]
Huenda hajapata mkuu,sema inatakiwa akujulishe Ili uangalie njia nyingine
relax mkuuyaani mkuu alikuwa hadi ameniambia muda wa kutuma na nimpe account number,basi baada ya hapo akaacha kupokea simu,ila status zake yuko sherehe tu anaweka,na hata hilo tatizo nilimuambia,sasa kama ameona amebadili mawazo si angesema hanipi tu nikawa na amani.
nakumbuka niliwahi kumsaidia kiasi aanzishe biashara yake,na hakinilipa chote,ila nilichukulia kama rafiki na ndio kwanza alikuwa ameoa.
[emoji1787][emoji1787]Nina kaka angu nayeye hajui kukataa ila hutapata hata 100..Kuna siku nlimuuliza sababu akadai hapendi kumkatisha mtu tamaa!Kila mtu na maswaibu yake mwamba kuna wengine hawajui kukataa .Mi kuna Uncle wangu ukimwambie niazime elf 20 utasikia sawa badae kidogo uncle ,milioni 5 nayo ni hivyo hivyo utasikia nipe muda hii niweke kwenye account yako au.Lakini hatumi hata 100.
Na hiyo ndio dawa ya rafiki mnafiki. Siku yakimkuta na ww unamkanyagia tu.relax mkuu
mi kuna jamaa ni rafiki kichizi,nimemshika mkono sanaa
siku nikawa na shida ya laki moja nikamwomba msaada majibu yake ni nakutumia (najua ana fedha maana kuna mishe tunafanya na yake iliwahi kutiki kabla yangu) nikamwibukia kwake nakuta anakarabati nyumba akanihaidi atanipa siku iyo ila wapiii
baada ya wiki 2 inshu yangu ikatiki pia akaniomba laki 3 hahahaha akipiga simu huwa napokea kwa kiitikio cha `wewe wa kuninyima laki" alafu nauchuna
huyu bwana nimemuweka kwenye orodha ya jamaa zangu watakao kumbana na vikwazo vya kiuchumi miaka yote. pia nimemwondoa kwenye orodha ya watakao fahamu kipato changu
Meet nae face to faceyaani mkuu alikuwa hadi ameniambia muda wa kutuma na nimpe account number,basi baada ya hapo akaacha kupokea simu,ila status zake yuko sherehe tu anaweka,na hata hilo tatizo nilimuambia,sasa kama ameona amebadili mawazo si angesema hanipi tu nikawa na amani.
nakumbuka niliwahi kumsaidia kiasi aanzishe biashara yake,na hakinilipa chote,ila nilichukulia kama rafiki na ndio kwanza alikuwa ameoa.
Hapana nimepitia mengi tu siwezi kukuambia hapa..Ninachotaka kukuambia kwamba usilaumu ndo washaamua hao marafikisiku ukipitia hali niliyopitia,haya uliyoandika hapa utarudi kusema yabatilishwe.
nashukuru kwa mchango wako,ila kukopa si laana,kumbuka sijaomba hivyo nitarudisha.
Mkuu kama hana huo uwezo si bora aseme kuliko kutokupokea simu wala kujibu msg?Si kwamba hataki kukusaidia ila hana uwezo huo wa kukusaidia usimchukulie vibaya
Akija msaidie itamuuma zaidi kuliko ukilipa kisasi cha kutokumsaidia.Nashukuru sana,ila bado tunaishi ngoja tuone mbele,kukwama kupo tu,kuna mahesabu nilikosea ndio nikaingia uhitaji,sasa jamaa nimezoea hata yeye aliwahi kupata shida na nilimpa kiasi kikamuinua,kwangu yamenipata amepiga tukio,lakini najua atakuja kwa shida.