Tangu nazaliwa mpaka namaliza chuo yaani mpaka leo sijawai kuomba msaada wa fedha kwa rafiki wala kumkopa,Nina marafiki wengi ila naona ni watu ninao fahamiana nao sio kama unavyochulia ...
Mi nimejitegenezea formular nikikosa basi mmekula kwangu basi hustling zangu sio za kitoto ...kwa imani yangu kuomba omba ni laana na sio vizuri ni aibu kabisa ... kuhusu kulala njaa nishalala sana kwangu sio kesi haswa kipind nipo advance nategemea wazazi wakikosa ndo basi ila sijui niombe mshkaji, dada, kaka, shangazi,mjomba ,ba mkubwa au mdogo siwezi kabisa .