MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Yaani wewe ulibadili ID bila taarifa sasa ndiyo nini sasa ? Mwenzio nakutafutaAsante mkuu,umeongea mema Sana[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe ulibadili ID bila taarifa sasa ndiyo nini sasa ? Mwenzio nakutafutaAsante mkuu,umeongea mema Sana[emoji120]
🤣🤣🤣Nipo hapa ma best friend 😉 nambie(but sor)Yaani wewe ulibadili ID bila taarifa sasa ndiyo nini sasa ? Mwenzio nakutafuta
sawa sawa mkuu.Akija msaidie itamuuma zaidi kuliko ukilipa kisasi cha kutokumsaidia.
hii ya kufuta namba nimeshafanya tayari,shida imeisha pia.Pambana tatua shida yako living kivingine then futa namba endelea na maisha yako.
Kila mtu na maswaibu yake mwamba kuna wengine hawajui kukataa .Mi kuna Uncle wangu ukimwambie niazime elf 20 utasikia sawa badae kidogo uncle ,milioni 5 nayo ni hivyo hivyo utasikia nipe muda hii niweke kwenye account yako au.Lakini hatumi hata 100.
hii ya kufuta namba nimeshafanya tayari,shida imeisha pia.
kaka hajashindwa,alikubali hadi kuomba acount number nimpe,hapokei simu hajibu texts na status zake naziona yupo maeneo.Usifute namba kisa mtu hajakusaidia. Maisha hayaendi hivyo.
Leo kashindwa ipo siku atakusaidia tena mahali usipotarajia
Nimefurahi kujua upo mpka nishapanga root za mitaa na viunga vyote vya mbeya mjini kukutafuta mpaka nikupate[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo hapa ma best friend [emoji6] nambie(but sor)
🤣🤣🤣Kweli unaupendo wa agape🤸Nimefurahi kujua upo mpka nishapanga root za mitaa na viunga vyote vya mbeya mjini kukutafuta mpaka nikupate
Songa mbele na maisha yako sasa achana naye huyo.Hata sisi tuliachana na marafiki wa hivyo.hii ya kufuta namba nimeshafanya tayari,shida imeisha pia.
Usimlaumu mkuu! Tozo zimevuruga mipango mkuu!Amani iwe kwenu.
Ninapitia kipindi cha kuumia sana.
Hivi rafiki mnayeheshimiana akikuahidi atakusaidia kutatua tatizo lako la kipesa halafu baadae hapokei simu wala hajibu SMS zako na pesa hakusaidii kama alivyoahidi, ila unaona anaweka status tu WhatsApp huwa mnachukua hatua gani wakuu?
Jamaa yangu mmoja amenifanyia hivyo, hajui tu ameniumiza kiasi gani.
Zaidi ya upendo wa DeepPond kwa mama j[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli unaupendo wa agape[emoji1732]