Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
TAMISEMI imekua na mtindo wa fake promise kuhusu ajira kila uchwao na hakuna kutekeleza yani hakuna ajira.
au wakiajiri basi wataajiri idadi ndogo kuliko waliosema.
mwaka huu walisema wataajiri lakini hola wanacheza na akili za wasomi kirahisi tu haLafu watu wasomi wamelala.
kwa sababu ya uchaguzi basi watakuna kuajiri vijana mwezi wa 9 2025.
nashauri viongozi wawe wanawajibika na kauli zao manake huu ni utapeli
.
au wakiajiri basi wataajiri idadi ndogo kuliko waliosema.
mwaka huu walisema wataajiri lakini hola wanacheza na akili za wasomi kirahisi tu haLafu watu wasomi wamelala.
kwa sababu ya uchaguzi basi watakuna kuajiri vijana mwezi wa 9 2025.
nashauri viongozi wawe wanawajibika na kauli zao manake huu ni utapeli
.