BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kwa takriban miaka 5 kumekuwa na ahadi kutoka kwa Mamlaka mbalimbali juu ya kuanza kwa huduma za usafiri wa Treni yenye Kasi zaidi (SGR) lakini utekelezaji wake umekuwa na mabadiliko ya muda mara kwa mara yanayotajwa kusababishwa na kutokamilika kwa baadhi ya Miundombinu.
Hapa kuna mtiririko wa ahadi zilizowahi kutolewa na Viongozi kuhusu kuanza kwa huduma hizo tangu Februari 2019 mpaka ahadi ya hivi karibuni ya Desemba 2023 kutoka kwa Waziri wa Ujenzi, Prof. Makame Mbarawa.
Mdau wa Huduma za Usafiri una maoni gani kuhusu Mradi huu?
Hapa kuna mtiririko wa ahadi zilizowahi kutolewa na Viongozi kuhusu kuanza kwa huduma hizo tangu Februari 2019 mpaka ahadi ya hivi karibuni ya Desemba 2023 kutoka kwa Waziri wa Ujenzi, Prof. Makame Mbarawa.
Mdau wa Huduma za Usafiri una maoni gani kuhusu Mradi huu?