Binafsi huu mradi hata siuelewi jinsi unavyoenda na huko watajua wenyewe.
Kubwa ningeonba tu mamlaka husika watufungukie njia za Majumba Sita na Njia panda ya Airport kama walivyofanya Vingunguti kwani kero imekuwa kubwa sana ya watumiaji wa barabara kwa kufunga haya maeneo halafu hatuoni mtu/harakati zozote ktk maeneo husika ya ujenzi/site.