Hivi Ndugai alishawahi kuhoji kuhusu miradi mingi kupelekwa Chato? Hii itakuwa ni justification kwake kuhoji pesa nyingi kupelekwa Zenji.Mshana kalale Bwana, nami nalala. Ndugai akisimama kidete atashinda maana nasikia ishu Ni kupeleka pesa nyingi Zanzibar
Wa Bara tutamuunga mkono
Watanganyika wajinga Sana yote anayofanya MAMA YETU yalikuwemo ktk taratibu misaada na mikopo yote 4.5 ilikuwa ipewe Zanzibar washenzi hawakuwahi ipatia ZANZIBAR hiyo sehemu na issues zote za Muungano ili zipite Bungeni ilikua nilazima zikibaliwe Kwa THULUTHI MBILI za wabunge WA ZANZIBAR lkn hivyo sivyo matokeo yake mkawa mnafanya tuu vile mpendavyoShaka NI Mzanzibari
Pamoja na yote, akikukuta unapigana na nyoka, akakusaidia, utajisalimisha kwa nyoka ili mradi usiwe upande wake? Nadhani ni vizuri kuangalia mashiko ya hoja kuliko nani kasema.Kaka mkubwa kwani kunalalika basi.. Whatever the case kwangu mimi Jobo simkubali kabisa.. Alikotupitisha ni kubaya mno
Semi SAMIHA hafai Kwa nini?Hivi Ndugai alishawahi kuhoji kuhusu miradi mingi kupelekwa Chato? Hii itakuwa ni justification kwake kuhoji pesa nyingi kupelekwa Zenji.
Ndugai na SASHA wote hawafai, je nani kati yao ni devil mbaya zaidi? Challenging question.
Bwana Shaka msemaji wa CCM Taifa ilitarajiwa angekuwa na kikao na wanahabari, lakini kwa mshangao wa wengi press conference imesogezwa mbele...
Naunga mkono hoja, si kweli Zanzibar haiwezi kukopa nayo matriliion mpaka ipitie MuunganoWatanganyika wajinga Sana yote anayofanya MAMA YETU yalikuwemo ktk taratibu misaada na mikopo yote 4.5 ilikuwa ipewe Zanzibar washenzi hawakuwahi ipatia ZANZIBAR hiyo sehemu na issues zote za Muungano ili zipite Bungeni ilikua nilazima zikibaliwe Kwa THULUTHI MBILI za wabunge WA ZANZIBAR lkn hivyo sivyo matokeo yake mkawa mnafanya tuu vile mpendavyo
#TUNASIMAMA NA MAMA LITAKALOKUA NA LIWE
Sio kuomba kizembe bali ni kule kuomba tu. Hapo ndipo alipoharibu na kuwapa nguvu wapinzani wake. Kutubu ni kukiri kuwa umekosea kweli na unajutia kosa lako.Dah, kilichomgharimu ndugai Ni kuomba radhi kizembe
ubavu huo anao??Ndungai asiwanyenyekee hao maboya , alaf kuomba msamaha lilikuwa kosa la Karne , kama vip awasikilizie wanachotaka wafanye na wafanye na hakuna kujiuzulu , tozo lazima zihojiwe na ukopaji wa pupa lazima uhojiwe ,
Sawa alitukosea ika sio kupigwa risasi nduguNitamsamehe yote Ndugai lakini si ukatili aliyomfanyia Tundu Lisu, kumnyima matibabu na kumvuwa ubunge.
Kama ningekuwa na mamlaka huyu ni mtu wa kupigwa risasi hadharani ili iwe fundisho kwa wengine.
KARMA ndio inamtafuna sasa, malipo ni hapahapa duniani.
Ni kweli kabisa Dega. Ondoa tuu maneno 'wajinga' na 'washenzi'. Ukishaondoa utakuwa sawa asilimia mia.Watanganyika wajinga Sana yote anayofanya MAMA YETU yalikuwemo ktk taratibu misaada na mikopo yote 4.5 ilikuwa ipewe Zanzibar washenzi hawakuwahi ipatia ZANZIBAR hiyo sehemu na issues zote za Muungano ili zipite Bungeni ilikua nilazima zikibaliwe Kwa THULUTHI MBILI za wabunge WA ZANZIBAR lkn hivyo sivyo matokeo yake mkawa mnafanya tuu vile mpendavyo
#TUNASIMAMA NA MAMA LITAKALOKUA NA LIWE
Mkuu hapo ndipo tunakosea, Huyu Ndugai ndio alipinga sana 1.5T isichunguzwe na kuongoza vita dhidi ya aliyekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali.Tusimwangalie Ndugai,tutazame hoja zake.Wazungu wana Msemo wao “even a broken clock is right twice a day”
Ndugujobo agombee urais sidhani hata km ana wazo hilo.Hoja ya Ndungai inafunikwa na agenda ya Urais 2025.
Nimekufahamu, samahani nimekosea poleniNi kweli kabisa Dega. Ondoa tuu maneno 'wajinga' na 'washenzi'. Ukishaondoa utakuwa sawa asilimia mia.
Upo zama zakuagiza barua kwenye mabasi.Usiku ni ofisi ipi inayofanyakazi?
Sidhani lakini Chato ni Tanganyika,Zanzibar ni nchi nyingine ukienda kule wewe ni mgeni ni sawa na mkenya.Hivi Ndugai alishawahi kuhoji kuhusu miradi mingi kupelekwa Chato? Hii itakuwa ni justification kwake kuhoji pesa nyingi kupelekwa Zenji.
Ndugai na SASHA wote hawafai, je nani kati yao ni devil mbaya zaidi? Challenging question.
Huogopi kucharazwa bakora na jirani mlorofi, ila shukran Kwa kutumegea yanayojiri🤔.Bwana Shaka msemaji wa CCM Taifa ilitarajiwa angekuwa na kikao na wanahabari, lakini kwa mshangao wa wengi press conference imesogezwa mbele.
Ni dhahiri mada kuu ni mustakabali wa Spika wa Bunge Mh Ndugai.
Najaribu kufikiri sababu za kuhairisha press conference najikuta nawaza tofauti na waTanzania wengi.
Kwamba Ndugai ni mkosaji saaaana.
Kwamba Ndugai lazima kichwa chake kiliwe. Kwamba kukopa mabilioni kwaajili ya ujenzi wa madarasa kusihojiwe.
Kwamba tozo tuliyoambiwa ni kwaajili ya kujenga vyumba vya madarasa haitoshi.
Akili inaniambia hicho kikao cha Halmashauri kuu kuna watu wachache wenye akili za kuhoji kulikoni.Mbona kasi ya kukopa imekuwa kubwa ndani ya miezi michache.
Nahisi hicho kikao kimekumbana na mpasuko mkubwa kuliko ilivyotarajiwa.
Nahisi Ndugai sasa anabembelezwa amsaidie Rais kwa kujiuzulu kwakuwa asipofanya itakuwa ni kumfedhehesha Rais.
Ni hayo tu kwa leo
Ngongo kwasasa Kongwa.