Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Nasikia Job kaachia ngazi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi sisahau mkuu hasa ukatili wa kumnyima Tundu Lisu kugharamiwa matibabu na serikali, na pia kumvuwa ubunge kihuni, hili halisameheki duniani.Hapana tafadhali sio kwa Ndugai .. Sio mzalendo ni mlafi na ni fisadi wa viwango vya juu kabisa.. Tusisahau alikotupitisha na alikorufikisha kama spika..MIMI HUWA SISAHAU
Kibuyu kimeshatumbukaHata mimi sisahau mkuu hasa ukatili wa kumnyima Tundu Lisu kugharamiwa matibabu na serikali, na pia kumvuwa ubunge kihuni, hili halisameheki duniani.
Asulubiwe Ndugai, no merci for this bunch of gangstas.
Nimewaza kama wewe.Nadhani watu wenye hekima na saburi wamewashauri wasifanye mambo kwa pupa, bali kwa tuo, tafakuri na hadhari
Bado haitoshi, subiri ndio utaijuwa vizuri ccm, huyu ni mbwa kabisa hastahili hata kubaki na ubunge yeye na wahuni wenzake covid 19.Kibuyu kimeshatumbuka