kidereko
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 882
- 1,262
nduuugai ndio boya mkuu, anataka kushindana na wenye mpini,Ngojea akatwe vidole vyakeNdungai asiwanyenyekee hao maboya , alaf kuomba msamaha lilikuwa kosa la Karne , kama vip awasikilizie wanachotaka wafanye na wafanye na hakuna kujiuzulu , tozo lazima zihojiwe na ukopaji wa pupa lazima uhojiwe ,