nduuugai ndio boya mkuu, anataka kushindana na wenye mpini,Ngojea akatwe vidole vyakeNdungai asiwanyenyekee hao maboya , alaf kuomba msamaha lilikuwa kosa la Karne , kama vip awasikilizie wanachotaka wafanye na wafanye na hakuna kujiuzulu , tozo lazima zihojiwe na ukopaji wa pupa lazima uhojiwe ,
Mtaongea lugha zote safari hii,wagogo na wasukuma mmeshikwa pabaya, ndio mtajua kuwa serikali Ni zaidi ya SAMIATwende mbele turudi nyuma. Tuna dikteta wa kike
Sukuma Gang na ndugai wanakuambia Samia hafai sababu hateki na kuua,na Wala hanyanyasi matajiriSemi SAMIHA hafai Kwa nini?
# Hafai Kwa sababu kazuia Matajiri kutekwa na kuporwa Mali?
#Hafai Kwa sababu kawapeleka viongoz majambaz Mahakama I?
#Hafai Kwa sababu karejesha utawala WA Sheria
#Hafai Kwa sababu kila MTU yupo huru kuhoji?
Unaumwa wewe wacha kunilinganisha na makabila nisiyoyajuaMtaongea lugha zote safari hii,wagogo na wasukuma mmeshikwa pabaya, ndio mtajua kuwa serikali Ni zaidi ya SAMIA
Si kwamba hana hoja ila sasa kutokana na unyama alioutenda tuache kwanza araruliwe na aliyoyashadadia baadae tutawaunga mkono wengine watakao ibeba hoja hiyo wakiwa na uhalali.Pamoja na yote, akikukuta unapigana na nyoka, akakusaidia, utajisalimisha kwa nyoka ili mradi usiwe upande wake? Nadhani ni vizuri kuangalia mashiko ya hoja kuliko nani kasema. Vinginevyo haitakuwa tofauti na wale jamaa wa kijani wanaogomea kila hoja itokayo upande wa pili na kuunga mkono kila kinachotoka kwao bila kujali mashiko yake, halafu baadaye wanagundua wamefuata mpiga filimbi wa Hamelini wakiwa wamechelewa. Ndiyo haya tuyaonay.
Unaweza kuta wewe ni ngugai eti!Bwana Shaka msemaji wa CCM Taifa ilitarajiwa angekuwa na kikao na wanahabari, lakini kwa mshangao wa wengi press conference imesogezwa mbele.
Ni dhahiri mada kuu ni mustakabali wa Spika wa Bunge Mh Ndugai.
Najaribu kufikiri sababu za kuhairisha press conference najikuta nawaza tofauti na waTanzania wengi.
Kwamba Ndugai ni mkosaji saaaana.
Kwamba Ndugai lazima kichwa chake kiliwe. Kwamba kukopa mabilioni kwaajili ya ujenzi wa madarasa kusihojiwe.
Kwamba tozo tuliyoambiwa ni kwaajili ya kujenga vyumba vya madarasa haitoshi.
Akili inaniambia hicho kikao cha Halmashauri kuu kuna watu wachache wenye akili za kuhoji kulikoni.Mbona kasi ya kukopa imekuwa kubwa ndani ya miezi michache.
Nahisi hicho kikao kimekumbana na mpasuko mkubwa kuliko ilivyotarajiwa.
Nahisi Ndugai sasa anabembelezwa amsaidie Rais kwa kujiuzulu kwakuwa asipofanya itakuwa ni kumfedhehesha Rais.
Ni hayo tu kwa leo
Ngongo kwasasa Kongwa.
Kikao cha kamati zote alichopaswa kukiongoza leo kimeahirishwa bila kutajwa sababuHii ilikuwepo tangu saa 2 usiku,tuvute subra kidogo.
Hapana tafadhali sio kwa Ndugai .. Sio mzalendo ni mlafi na ni fisadi wa viwango vya juu kabisa.. Tusisahau alikotupitisha na alikorufikisha kama spika..MIMI HUWA SISAHAUPamoja na yote, akikukuta unapigana na nyoka, akakusaidia, utajisalimisha kwa nyoka ili mradi usiwe upande wake? Nadhani ni vizuri kuangalia mashiko ya hoja kuliko nani kasema. Vinginevyo haitakuwa tofauti na wale jamaa wa kijani wanaogomea kila hoja itokayo upande wa pili na kuunga mkono kila kinachotoka kwao bila kujali mashiko yake, halafu baadaye wanagundua wamefuata mpiga filimbi wa Hamelini wakiwa wamechelewa. Ndiyo haya tuyaonay.
Kuzungumzia hoja hakumfutii hatia. Tuende na hoja, wenye madukuduku naye waendelee.Si kwamba hana hoja ila sasa kutokana na unyama alioutenda tuache kwanza araruliwe na aliyoyashadadia baadae tutawaunga mkono wengine watakao ibeba hoja hiyo wakiwa na uhalali.
Mshana Jr..dah Ngamboo ngaliii!!Matola mimi sijui ila mochwari sisi ni 24/7
NDUGAI KAIPASUA CCM VIPANDE VIWILIBwana Shaka msemaji wa CCM Taifa ilitarajiwa angekuwa na kikao na wanahabari, lakini kwa mshangao wa wengi press conference imesogezwa mbele.
Ni dhahiri mada kuu ni mustakabali wa Spika wa Bunge Mh Ndugai.
Najaribu kufikiri sababu za kuhairisha press conference najikuta nawaza tofauti na waTanzania wengi.
Kwamba Ndugai ni mkosaji saaaana.
Kwamba Ndugai lazima kichwa chake kiliwe. Kwamba kukopa mabilioni kwaajili ya ujenzi wa madarasa kusihojiwe.
Kwamba tozo tuliyoambiwa ni kwaajili ya kujenga vyumba vya madarasa haitoshi.
Akili inaniambia hicho kikao cha Halmashauri kuu kuna watu wachache wenye akili za kuhoji kulikoni.Mbona kasi ya kukopa imekuwa kubwa ndani ya miezi michache.
Nahisi hicho kikao kimekumbana na mpasuko mkubwa kuliko ilivyotarajiwa.
Nahisi Ndugai sasa anabembelezwa amsaidie Rais kwa kujiuzulu kwakuwa asipofanya itakuwa ni kumfedhehesha Rais.
Ni hayo tu kwa leo
Ngongo kwasasa Kongwa.
Sio kuomba radhi anaonekana mtu wa fitna za chini chini sana kwa kutumia mhimili wake sasa kagusa wenye madaraka na pia hana ushawishi kwa Wananchi au kwenye makundi ya siasa zao kwa hiyo anabaki kuomba media zimtangazie msamaha...Dah, kilichomgharimu ndugai Ni kuomba radhi kizembe
Sema Watanganyika mtusaidie tusimame na mama. Maana nyinyi wenyewe kama Zanzibar hata mkisimama na mama kura zenu kama mkoa mmoja tuWatanganyika wajinga Sana yote anayofanya MAMA YETU yalikuwemo ktk taratibu misaada na mikopo yote 4.5 ilikuwa ipewe Zanzibar washenzi hawakuwahi ipatia ZANZIBAR hiyo sehemu na issues zote za Muungano ili zipite Bungeni ilikua nilazima zikibaliwe Kwa THULUTHI MBILI za wabunge WA ZANZIBAR lkn hivyo sivyo matokeo yake mkawa mnafanya tuu vile mpendavyo
#TUNASIMAMA NA MAMA LITAKALOKUA NA LIWE
Inafikirisha.NDUGAI KAIPASUA CCM VIPANDE VIWILI