kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..
Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi.ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa hovyo hovyo kama manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.
Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.
Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.
Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.
Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.
Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.
Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.
Sasa kama wao mashabiki wa timu hizo ndio mnapenda aina hiyo ya usemaji wao wafanye nini?Huyo kamwaga wanasimba walikuwa wakimponda kuwa amepooza kama mkojo wa ngedele!!kutokana na u smart aliokuwa!!!Nyie si mnapenda ule usemaji wa ki propaganda,mala kwa simba hii hata BARCA,tena ile ya kina Niesta,hawatoki!! Kwani humuoni hata huyo wa YANGA mpya,alikuwa smart lakini ili kwenda na vibe la mashabiki wa timu yake,ameshakuwa pompoma!!!Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..
Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi.ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa hovyo hovyo kama manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.
Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.
Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.
Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.
Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.
Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.
Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.
Kumjibu yule msukule nafikiri ni kumuongezea umaarufu na attentionAisee, huu Uzi umenifungua.....Kumbe Wapo Wanaopenda Wasemaji Wa hizi Timu Wabakie Kusimamia Weledi katika utendaji Wao Wa Kazi..!
Hawa Vijana Wawili Ally Kamwe na Ahmed Ally nawaona Kbs Wanaweza Kusimamia Weledi..!
Ila Yule Msukule huwa analiamsha Sasa hapo ni Lzm Watu Wajibu Mapigo..!
Ngoja tuone!
Kiongozi mzuri hapelekeshwi na hisia za mashabiki ambao wengi mbumbumbuSasa kama wao mashabiki wa timu hizo ndio mnapenda aina hiyo ya usemaji wao wafanye nini?Huyo kamwaga wanasimba walikuwa wakimponda kuwa amepooza kama mkojo wa ngedele!!kutokana na u smart aliokuwa!!!Nyie si mnapenda ule usemaji wa ki propaganda,mala kwa simba hii hata BARCA,tena ile ya kina Niesta,hawatoki!! Kwani humuoni hata huyo wa YANGA mpya,alikuwa smart lakini ili kwenda na vibe la mashabiki wa timu yake,ameshakuwa pompoma!!!
Huyu Sasa ndo shabiki halisi wa mpira wa Tanzania. Kuna wakati hawezi hata kukupangia line up ya Simba lakini ni msema chochote.Club Africain ameanza kuwachanganya
Ahmed yupo vizur nakubaliana naweMimi ni shabiki wa ahmed ally, jamaa anaupiga mwingi sana. Zile spana zinawapata vilivyo utopolo.
Mpira wetu ukileta uzungu hatukuelewi kabisa yani. Ili ujue hili soka kuna content za kikwetukwetu ni hili suala la wasemaji wa team sina uhakika kama kuna sehemu nyingine wa utaratibu huu.
Halafu huwa inashangaza sana, unawezaje kudharau watu kutokana na elimu yao? Wakati hao ndo wakiambiwa njooni uwanjani wanakuja? Wakiona jezi mpya wananunua? Unapata wapi nguvu ya kusema "uswahili".
Spana muhimu sana zile zinaleta amani sana.
Nlikuwa nadhani wewe ni mtu mzima unayejielewa. Ila kwa hii comment kama pamoja na kusoma nlichoandika hujaelewa. Napata mashaka sana na umri wako. Kuna age ambayo wengine tulishavuka na ngazi ya ushabiki ambayo hatupo tunahitaji tu kuwa na discussion na wanasimba wenye uelewa na si ushabiki maandazi.Declare interest, wewe ni Yanga?
Hapo umeongea sawa. Wewe shabiki wa Ahmed Ally. Kama ambavyo ulikuwa Shabiki wa Manara. Mimi nahitaji kujadiliana hili na Wapenzi wa Mpira wanaoipenda Simba. level ya mashabiki wa watu hiyo ni ya wasio na elimu au watoto.Mimi ni shabiki wa ahmed ally, jamaa anaupiga mwingi sana. Zile spana zinawapata vilivyo utopolo.
Mpira wetu ukileta uzungu hatukuelewi kabisa yani. Ili ujue hili soka kuna content za kikwetukwetu ni hili suala la wasemaji wa team sina uhakika kama kuna sehemu nyingine wa utaratibu huu.
Halafu huwa inashangaza sana, unawezaje kudharau watu kutokana na elimu yao? Wakati hao ndo wakiambiwa njooni uwanjani wanakuja? Wakiona jezi mpya wananunua? Unapata wapi nguvu ya kusema "uswahili".
Spana muhimu sana zile zinaleta amani sana.
Mwanasimba kama mwanasimba hahitaji mtu wa kumwambia njoo uwanjani au nunua jersey. Anafahamu wajibu wake. Nyie ndo mlikuwa mnapa kichwa hata yule bwatubwatu manara akadhani yeye ndo anajaza uwanja wa mkapa.Mimi ni shabiki wa ahmed ally, jamaa anaupiga mwingi sana. Zile spana zinawapata vilivyo utopolo.
Mpira wetu ukileta uzungu hatukuelewi kabisa yani. Ili ujue hili soka kuna content za kikwetukwetu ni hili suala la wasemaji wa team sina uhakika kama kuna sehemu nyingine wa utaratibu huu.
Halafu huwa inashangaza sana, unawezaje kudharau watu kutokana na elimu yao? Wakati hao ndo wakiambiwa njooni uwanjani wanakuja? Wakiona jezi mpya wananunua? Unapata wapi nguvu ya kusema "uswahili".
Spana muhimu sana zile zinaleta amani sana.
Ezekiel Kamwaga yupo Uingereza anasoma, huyu Ahmed Ally na Manara ni chupa na mfuniko tu, wote wapumbavu watupu.Binafsi naona msemaji aliyekuwa smart alikuwa Ezekiel Kamwaga. Huyu alikuwa professional hasa. Anajielewa na anaelewa Taaluma yake na hadhi ya Club aliyokuwa anaisemea..
Ahmed Ally nlitegemea angekuwa na cha kujifunza katika hilo. Kuwa msemaji wa kisasa mwenye weledi.ameeenda kuangukia kwenye kundi lile lile la msemaji wa hovyo hovyo kama manara ambaye sisi wengine tulikuwa tunamkataa toka akiwa Simba.
Tabia za kuinanga Yanga ni za Kipuuzi. Zinachochea Uadui na hazikuzi mpira wetu Kimataifa. Ndo maana unaona team ya Taifa ipo Hoi. Sababu tunapoteza sana katika Usimba na Uyanga.
Ali Kamwe alikuwa na akili alipoenda kuwa msemaji wa Yanga akili akazitoa na kubaki alivyo sasa. Mi nadhani Simba ilipaswa iache kujilinganisha na Yanga. Simba ilipaswa ijiangalie yenye na Clubs nyingine kubwa za Afrika.
Iachane na kushindana na Yanga. Ibaki kushindana na teams kubwa. Yanga ni team kama teams nyingine katika Ligi. Kujilinganisha na Yanga ni kuonesha bado Simba haijakua. Ina utoto ule ule wa miaka na miaka. Haitasaidia Club.
Yanga ikigundua kuwa nayo inapaswa i move toka hapo ilipo iangalie mbali...itabadilika. na teams nyingine pia zitaacha kukamia Simba na Yanga tu. Zitakamia Ligi nzima. Ili zikacheze mashindano Makubwa. Hivyo mpira wetu utakuwa. Team ya Taifa itakuwa imara.
Ahmed Ally. Ana Elimu bila shaka tofauti na Haji Manara ambaye hana Elimu. Afanye kwa namna ambayo tutaona tofauti ya watu hawa wawili. Simba hawana haja ya kuwa na mtu wa Kuinanga Yanga. Wa nini?Simba inahitaji mtu ambaye atakuwa daraja la Wapenzi na Uongozi na Wachezaji.
Maisha ya kunangana ni utoto na uswahili. Inawezekana kuna wanaopenda lakini pia tupo sisi hatuoni faida zaidi ya upuuzi na kujenga chuki kwa hizi teams mbili.