Ahmed Ally bado ana Utoto, Usemaji wa Kipuuzi ambao si Level ya Simba

Hopeless kwa Tanzania na Culture yake huwezi kuwa Msemaji mwenye Ushawishi kwa Mashabiki wa hivi Vilabu Vikubwa Viwili kama huinangi Klabu mojawapo.

Punguza Chuki zako Binafsi kwa Ahmed Ally ( Msemaji wa Simba SC ) kama uliitaka hiyo Kazi na subiri muda wake ukimalizika nawe utaomba ili ukiipata tuone kama utaweza kuyafanya haya Unayojimwambafai nayo hapa.
 
Stupid culture and perception for hopeless people. Waswahili wengi wanaamini unapomkosoa mtu unamchukia. Ndo maana wanasiasa walio kwenye vyeo wakikosolewa huwadhuru wengine sababu ya perception kama hii yako ya chuki binafsi. "Ukupigao ndio ukufunzao" wewe ukiamua kusifu na kuabudu acha wengine watimize matakwa ya kikatiba kuongea what they feel.

Ni suala la kuamua kutumia akili au kutumia tumbo/makalio. Wenye kutumia akili hukosoa na kupendekeza. Wale wengine huona ni chuki au wivu.
 
Stupid culture and perception for hopeless people.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…