Ahmed Ally: Si jambo jema hata kidogo Serikali kutoa Posho ya 1.2M pamoja na Usafiri kwa Mashabiki wa Yanga, Mpira ni Starehe

Hapa somo la ccm limefanikiwa.
Wagawe watawale.
Wewe na wenzio ni mfano wa wajinga mnaowapa ahueni wanaotumia vibaya nafasi za umma
Kama nyie ni werevu na mnatetea matumizi bora ya nafasi za umma kwa nini na nyie mnalilia mpewe kama wenzenu? Au ndiyo ile hadithi ya sungura...."mbichi sizitaki"!!??? Subirini mkipewa najua kelele zote hizi hazitakuwepo.
 
 


Tanzania nchi yangu daaah ngoja nikae kimya
 
Tajiri anaumia masikini Ombaomba akisaidiwa, kweli !! Tuoneeni huruma sisi Masikini kwa kusaidiwa, bado kuna mashabiki wetu 2 wameshindwa kupata nauli ili wafike 50, tunaomba Simba mtusaidie kuwasafirisha ili wafike Bondeni jamani.
 
Wakati Pana shule zinakosa vyoo Kwa Hela hio ingekuwa msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…