Simba imeramba dume apaAmewahi kuhudumu Sahara Media & Azam MediaView attachment 2066813
Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki.
Ahmed Ally karibu kwenye klabu ya maisha yako kuwatumikia Wanasimba kama Afisa Habari na Mawasiliano. #NguvuMoja
nini mantiki ya swali lako. ni vizuri kutumia logicHuyu jamaa kaondoka lini pale Azam wakuu,
hakika kabisa.Lilikua jambo la hatari sana, tunahitaji utani ila sio uropokaji.
Ni yeye, viatu vya Manara vikubwa sana wampe mchambuzi wa mchongo Shaffii DaudaHuyu ndo kijana tuliyekuwa tunamsubiria kwenye app ama????
Mpaka muda huu Yanga 3 simba 0! Na uzuri Wananchi safari hii hawasajili kwa mihemko! Tutaelewana tu.
Huyu ndo msemaji sasa..sio yule meno binzari
Mpaka muda huu Yanga 3 simba 0! Na uzuri Wananchi safari hii hawasajili kwa mihemko! Tutaelewana tu.
Simba imefanya jambo la maana, hii ndio maana halisi ya kuendesha taasisi kiweledi kwa kuajiri watu weledi
Mbona kama kombe la CCM[emoji28]
Ongezea kabisa:-Mbona kama kombe la CCM[emoji28]
Mimi mwenyewe nimeshangaa! Amed Ali na Mikia fc wapi na wapi! Huyu amefuata tu hela na kuendeleza kipaji chake. Nakumbuka wakati anatangaza Azam, alikuwa hata hajifichi. Kijana wetu huyu!
Mwijaku abaki kule kwenye uchawa mambo ya soka awezi hata punje ya mchele.Mwijaku chali
Ukimanisha huyu?Huyu anafaaa.....
Sio yule mpiga dufu.
Hongrea mtani umepata mtu sahihi