Ahmed Ally wa Azam TV Msemaji Mpya wa Simba

Ahmed Ally wa Azam TV Msemaji Mpya wa Simba

Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.

Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
 
Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.

Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Unataka kusema Simba kwa sasa haisikiki?
 
Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.

Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Mtu hana hata wiki kwenye mjukumu, umeshamuona failure?
 
Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.

Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Yaani nyie watu sijui kichwani kuna kuwa na nini, Yaani hata we unaandika hivi..!

Simba SC na Yanga ni Timu Kongwe, Takriban miaka 80 huko nyuma ilikuwa Hazifahamiki na Kusikika?

Leo hii Simba uje useme kuna pengo kwa sababu ya Haji, kwa vile alikuwa anafanya Uropokaji na Upumbavu.

Halafu nani kasema Simba au Yanga lazima kuwe na mtu wa kuropoka, ni Sheria au Kanuni..! Acheni mambo ambayo hayana Mantiki.
 
Amewahi kuhudumu Sahara Media & Azam MediaView attachment 2066813

Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki.

Ahmed Ally karibu kwenye klabu ya maisha yako kuwatumikia Wanasimba kama Afisa Habari na Mawasiliano. #NguvuMoja
Kama atafika miezi sita kwenye kiti hicho nitasema kweli anajua mazingira ya soka ya Tanzania na hasa kwa klabu za Simba na Yanga...
 
Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.

Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Heee,,wacha wee.
Shabiki la Uto ilo lime comment.
 
Back
Top Bottom