demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Wakwetu Kabisa Huyu.Kumbe wakwetu😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwetu Kabisa Huyu.Kumbe wakwetu😂😂
Hahaaa na jamaa utapeli anauweza ndio maana yake ya kujiitachi na ccm + matajiri.View attachment 2067081View attachment 2067082View attachment 2067083View attachment 2067086
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kumbe ni mwana utopoloMafanikio mema rafiki.View attachment 2067161
Happy tumepigwa ni utopolo huyuKila la kheri Ahmed AllyView attachment 2067159
Kwani we hujui kuwa mwamnyeto ni Simba lialia mbona yupo utopoloNyinyi ndiyo maana Rage aliwaitwa mbumbumbu! Mna macho lakini hamuoni! Mna masikio lakini hamsikii. Siku zote huwa mnashtuka mkiwa mmeshachelewa.
Huyu ni Kijana wetu. Kama ilivyo kwa HD, Yusuph Mhilu, na wengineo wengi ambao tumewapa kwa mkopo.
Unataka kusema Simba kwa sasa haisikiki?Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.
Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Bwabwa tu yuleMwijaku chali
huyu mzee tozi ndio nani? maana nasikia kila mara jina lakeManara huyu nyumba ndogo ya Mzee Tozi au mwingine?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mtu hana hata wiki kwenye mjukumu, umeshamuona failure?Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.
Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Gongowazi akili zao zimevunda ndo maana Manara aliwatukana miaka minne mfululizo...Leo hii ndo Msemaji wao.Hawa watu wamepagawa kabisa[emoji28].
Akili za Manara hizi..Kutwa kuandika Upoyoyo tu.Yanga tumemaliza kazi mapema huyu tumeshampachika bado sehemu nyingine
Yaani nyie watu sijui kichwani kuna kuwa na nini, Yaani hata we unaandika hivi..!Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.
Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.
Yanga na Simba zinahitaji wasemaji waropokaji,wakurupukaji,wenye amsha amsha na mapenzi ya dhati kwa timu
Utopolo bhana kweli nyie yule kocha wenu hajakosea kuwaita nyie🐒,, sasa huyu bwana ni mwana habari na hapo yupo ktk majukumu yake,, tatizo ni nini?? Au hayo maua ya kijani kwenye hilo kombe 😂🤣
😂😂😂🤣🤣🤣 unasema kweli humjui mzee tozi!!huyu mzee tozi ndio nani? maana nasikia kila mara jina lake
Kama atafika miezi sita kwenye kiti hicho nitasema kweli anajua mazingira ya soka ya Tanzania na hasa kwa klabu za Simba na Yanga...Amewahi kuhudumu Sahara Media & Azam MediaView attachment 2066813
Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki.
Ahmed Ally karibu kwenye klabu ya maisha yako kuwatumikia Wanasimba kama Afisa Habari na Mawasiliano. #NguvuMoja
Pengo la ushoga haliwezi kuzibwa ila usemaji tayariDuh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Heee,,wacha wee.Tuweke ushabiki pembeni, pengo la Manara pale Simba bado halijaweza kuzibika. Pamoja na mapungufu yote aliyokuwanayo Manara lakini jamaa alikuwa na vibe kubwa kiasi ya kuifanya Simba kusikika na kusifika.
Kuhusu Hamed Ally, huyu ni mtangazaji na mchambuzi mzuri wa soka kwenye Luninga na Redio lakini anaweza asiwe bora sana linapokuja suala la kuvisemea vilabu vya simba na Yanga ambao mhusika anatakiwa kuropoka hata upumbavu ili mradi tu mashabiki wahamasike.