Ahmed Ally: Yanga walitaka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wanajichoma choma uchafu

Ahmed Ally: Yanga walitaka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wanajichoma choma uchafu

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.

Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
 
Halafu mkifungwa mnasingizia GSM ananunua marefa kumbe mmewekeza kwenye umbea na majungu.
Tunadeal na hayo madude mnajidunga,mnapiga kelele kwamba nye ni unbeaten kumbe tunacheza na marobot, CCTV camera imewaumbua baada ya kujua mmeshtukiwa mechi mbizi zilizofuata ni kipigo tu,zinazofuata kila mtu anajipigia
 
Tunadeal na hayo madude mnajidunga,mnapiga kelele kwamba nye ni unbeaten kumbe tunacheza na marobot, CCTV camera imewaumbua baada ya kujua mmeshtukiwa mechi mbizi zilizofuata ni kipigo tu,zinazofuata kila mtu anajipigia
Kipigo cha mfululizo bado kinawatesa mtatafuta kila kisingizio ila hamtabadii chochote kwenye record.
 
Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.

Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Hivi ikitokea umeenda zako mtoni kuoga, halafu akaja kichaa/mwendawazimu na kuchukua nguo zako na kukimbia!! Na wewe ukaamua kumkimbiza huku ukiwa uchi! Ni nani ataonekana kichaa/mwendawazimu?
 
Ishu ni kuwa TFF hawana DOPING TEST kuwapima wachezaji kabla na baada ya mechi kuona kama wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku michezoni ama laa.

Yanga miaka hii miwili wachezaji wake wameonekana wakikimbia sana uwanjani na kuwa na work rate kubwa kuliko kawaida hili linatosha kuibua sintofahamu nini kinaendelea nyuma ya pazia
 
Mechi ya azam wamecheza pungufu zaidi ya dk 70,na bado azam walielemewa
Na ya Mashujaa? Na matches ngapi Yanga imecheza dhidi ya wapinzani dhaifu? Azam walipolemewa walipoteza points ngapi? Na mashujaa si walilemewa pia? Yanga possession 81 Mashujaa 19. Nani alishinda?
 
Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.

Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Zamani nilikuaga nakuona una akili
 
Back
Top Bottom