Ahmed Ally: Yanga walitaka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wanajichoma choma uchafu

Ahmed Ally: Yanga walitaka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wanajichoma choma uchafu

Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Co

Ukiangalia kwa umakini lipo jambo video ya masindano nimeiona ila ni sindano za nini hilo siwezi semea
tuhuma za kipumbavu za kutengeneza kama hizo huwezi kumnasa mtu kiulani hivyo ,,jiulize maswali yafuatayo : hizo camera kwa nini zije kuonyesha vitu vilivyosahaulika badala ya kutuonyesha kuanzia mwanzo ? Je hakuna uwezekano wa mwenye uwanja kuweka hivyo vitu baada ya mechi ili kumchafua mwenzake ? Baada ya vitu hivyo kuonekana kwa nini makamisaa wa mchezo hawakuitwa kuja kujiridhisha ? Hii michezo ya kuweka bangi kwenye nyumba ya mtu halafu unataka polisi waifatilie ishapitwa na wakati
 
Kwanini mbafugwa na Timu ambazo GSM hajadhamini tu alozodhamini mnachapa nyingi?
Wew ulivyopigwa 5 umedhaminiwa na gsm ? Jkt tanzania nae alivofungwa anadhaminiwa na gsm ? Kiongozi jaribu kujizuia hata kama kichwani mna mapungufu kila mmoja asijue ibaki siri yako 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
tuhuma za kipumbavu za kutengeneza kama hizo huwezi kumnasa mtu kiulani hivyo ,,jiulize maswali yafuatayo : hizo camera kwa nini zije kuonyesha vitu vilivyosahaulika badala ya kutuonyesha kuanzia mwanzo ? Je hakuna uwezekano wa mwenye uwanja kuweka hivyo vitu baada ya mechi ili kumchafua mwenzake ? Baada ya vitu hivyo kuonekana kwa nini makamisaa wa mchezo hawakuitwa kuja kujiridhisha ? Hii michezo ya kuweka bangi kwenye nyumba ya mtu halafu unataka polisi waifatilie ishapitwa na wakati
1000264582.jpg
 
Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.

Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
 
Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.

Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Cctv camera zina semaje. ? Mchawi kaonekana so now uchawi wa uto hauna nguvu tena
 
 

Attachments

  • naipendayanga_official_70718892_982186508780433_822201702640371731_n.mp4
    2.4 MB
Back
Top Bottom