Tunadeal na hayo madude mnajidunga,mnapiga kelele kwamba nye ni unbeaten kumbe tunacheza na marobot, CCTV camera imewaumbua baada ya kujua mmeshtukiwa mechi mbizi zilizofuata ni kipigo tu,zinazofuata kila mtu anajipigiaHalafu mkifungwa mnasingizia GSM ananunua marefa kumbe mmewekeza kwenye umbea na majungu.
Mnajidunga uchafu halafu hamtaki kuambiwa ukweli.Halafu mkifungwa mnasingizia GSM ananunua marefa kumbe mmewekeza kwenye umbea na majungu.
Kipigo cha mfululizo bado kinawatesa mtatafuta kila kisingizio ila hamtabadii chochote kwenye record.Tunadeal na hayo madude mnajidunga,mnapiga kelele kwamba nye ni unbeaten kumbe tunacheza na marobot, CCTV camera imewaumbua baada ya kujua mmeshtukiwa mechi mbizi zilizofuata ni kipigo tu,zinazofuata kila mtu anajipigia
Jibu hoja, hata kule ndiyo maana hamuweki wagombea afu mnaanza kulialia mnahujumiwa.Halafu mkifungwa mnasingizia GSM ananunua marefa kumbe mmewekeza kwenye umbea na majungu.
Ukiangalia kwa umakini lipo jambo video ya masindano nimeiona ila ni sindano za nini hilo siwezi semeaHivi hii kumbe serious ee
Hivi ikitokea umeenda zako mtoni kuoga, halafu akaja kichaa/mwendawazimu na kuchukua nguo zako na kukimbia!! Na wewe ukaamua kumkimbiza huku ukiwa uchi! Ni nani ataonekana kichaa/mwendawazimu?Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.
Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Hizo ni tuhuma lazima kujibu,...halafu mfano unaotoa mbona wa kichura maana mtoni ndo mnakoishi.Hivi ikitokea umeenda zako mtoni kuoga, halafu akaja kichaa/mwendawazimu na kuchukua nguo zako na kukimbia!! Na wewe ukaamua kumkimbiza huku ukiwa uchi! Ni nani ataonekana kichaa/mwendawazimu?
Kwanini Yanga wajibu? Kama ni kweli si mnatakiwa kupeleka malalmiko FIFA ili wachezaji wa Yanga wote wafungiwe. Kwanini hampeleki sasa hizo video?Hizo ni tuhuma lazima kujibu,...halafu mfano unaotoa mbona wa kichura maana mtoni ndo wanakoishi.
Mechi ya azam wamecheza pungufu zaidi ya dk 70,na bado azam walielemewaMechi ya Tabora tunaweza kusema ni wana ijunries,je ya Azam? Usishangae timu ikaja kudrop kiwango gafla
Na ya Mashujaa? Na matches ngapi Yanga imecheza dhidi ya wapinzani dhaifu? Azam walipolemewa walipoteza points ngapi? Na mashujaa si walilemewa pia? Yanga possession 81 Mashujaa 19. Nani alishinda?Mechi ya azam wamecheza pungufu zaidi ya dk 70,na bado azam walielemewa
Zamani nilikuaga nakuona una akiliAhmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.
Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Skuizi hatuogi mtoni. Tunaogea bafuni na mlango tunafunga.Hivi ikitokea umeenda zako mtoni kuoga, halafu akaja kichaa/mwendawazimu na kuchukua nguo zako na kukimbia!! Na wewe ukaamua kumkimbiza huku ukiwa uchi! Ni nani ataonekana kichaa/mwendawazimu?