Halafu wale wachawi saaaaaana na Wajinga wajinga wasojielewa utakuta ni Mtopolo. Yaani kazini ukikiona Kibabu/Kijana kau kau kinaongea saaaana na kinapenda ushirikina na kupepeta mdomo usiulize timu yake tambua tu ni Utopolo OG!Mnahangaiiiiiiiika.
Sijui kuna uhusiano gani kuwa mshabiki wa Simba na Kupenda MAJUNGU. Maana kila sehemu niliyokaa kikazi na mtaani utakuta wanapiga MAJUNGU sana huwa ni mashabiki wa Simba
Fanyeni basi namna wakamatwe. Mna majungu kama mwanamke aliyeachikaAkili huna au umeanza kushabikia mpira leo umesahau Manara aliwahi kusema Simba wanatumia dawa kwa kupuliza ktk chumba au unajitoa ufahamu
Yanga wanatumia madawa kweli ishangundilika labda muache ukiona inauma nenda kashtaki
Uandishi wako tu unajieleza kuwa wewe ni mpiga majungu mwandamizi.Halafu wale wachawi saaaaaana na Wajinga wajinga wasojielewa utakuta ni Mtopolo. Yaani kazini ukikiona Kibabu/Kijana kau kau kinaongea saaaana na kinapenda ushirikina na kupepeta mdomo usiulize timu yake tambua tu ni Utopolo OG!
Ushachanganya madesa... Kule wapi tena😃😄😆😀Jibu hoja, hata kule ndiyo maana hamuweki wagombea afu mnaanza kulialia mnahujumiwa.
Mpigie simu haraka au nenda ofisini kwake utoe taarifa. Una tabia za kishangaziHii issue ni serious nashangaa Karia anaogopa kutoa tamko. Hii timu ichunguzwe
Kuimba kupokezana Manara aliwahi sema live hadharani kuwa simba wanapulizia dawa sisi tukaa kimya tulieni dawa iwaingieniFanyeni basi namna wakamatwe. Mna majungu kama mwanamke aliyeachika
Ila ndugu yangu ni kwanini umejipa jina hilo na kujiwekea profile picture hiyo. Nadhani Shetani anajisikia fahari sana kwakoKuimba kupokezana Manara aliwahi sema live hadharani kuwa simba wanapulizia dawa sisi tukaa kimya tulieni dawa iwaingieni
Wewe kuku mtetea nenda katage, huwezi kunipangia mimiMpigie simu haraka au nenda ofisini kwake utoe taarifa. Una tabia za kishangazi
jikite ktk maadaIla ndugu yangu ni kwanini umejipa jina hilo na kujiwekea profile picture hiyo. Nadhani Shetani anajisikia fahari sana kwako
jikite ktk maadaIla ndugu yangu ni kwanini umejipa jina hilo na kujiwekea profile picture hiyo. Nadhani Shetani anajisikia fahari sana kwako
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu tu kabla huja andika jaribu kufanya utafiti kama Tff hawafanyi Doping Test.Ishu ni kuwa TFF hawana DOPING TEST kuwapima wachezaji kabla na baada ya mechi kuona kama wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku michezoni ama laa.
Yanga miaka hii miwili wachezaji wake wameonekana wakikimbia sana uwanjani na kuwa na work rate kubwa kuliko kawaida hili linatosha kuibua sintofahamu nini kinaendelea nyuma ya pazia
Wakala wa Shetanijikite ktk maada
Umejaa MAJUNGU tuWewe kuku mtetea nenda katage, huwezi kunipangia mimi
Madawa gani?Tumefungwa na madawa siyo yanga
Ulikuwa uko kwenye coma au ulikuwa uko rumande?Utopolo wameacha sindano za madawa kwenye vyumba vya wachezaji Chamazi.Madawa gani?
Kijili alikuwa ni mmojawapo wa waliopewa hayo madawa?
Sasa Yanga akitaka kuhamia KMC nani atakaye mzuia,si uamuzi tuu maana uwanja sio wenu.Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.
Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Pelekeni Ushahidi TFF na FIFA yanga ichukuliwe hatua.Ulikuwa uko kwenye coma au ulikuwa uko rumande?Utopolo wameacha sindano za madawa kwenye vyumba vya wachezaji Chamazi.
Naona sasa wewe ndo kama umeng'atwa na nyuki. Umepaniki jambo dogo tu. Wala hukupaswa kutoka povu kila sehemu yako ya uwazi. Sisi Yanga hatuna malalamiko. We nyau kweliNaona akili zimekuruka.Yanga alicheza lini na Mashujaa kwenye msimu huu?Au madhara ya kuumwa na nyuki?Wacha ushabiki maandazi wa kufuata mkumbo huku hujui hata timu unayoishabikia imecheza na timu gani.