Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Mara nyingi inakuwa kipindi cha piliIshu ni kuwa TFF hawana DOPING TEST kuwapima wachezaji kabla na baada ya mechi kuona kama wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku michezoni ama laa.
Yanga miaka hii miwili wachezaji wake wameonekana wakikimbia sana uwanjani na kuwa na work rate kubwa kuliko kawaida hili linatosha kuibua sintofahamu nini kinaendelea nyuma ya pazia
Vipi akili zimerudi?Mlipondwa na Mashujaa au Tabora United?Naona sasa wewe ndo kama umeng'atwa na nyuki. Umepaniki jambo dogo tu. Wala hukupaswa kutoka povu kila sehemu yako ya uwazi. Sisi Yanga hatuna malalamiko. We nyau kweli
Rage kuwaita mbumbumbu hakukosea kabisaHalafu mkifungwa mnasingizia GSM ananunua marefa kumbe mmewekeza kwenye umbea na majungu.
Hivi timu gani kutoka Tanzania, iliyopigwa faini na Caf, kwa sababu ya kufanya vitendo VYA ushirikina kule kwa madiba, maana mi nimesahauHalafu wale wachawi saaaaaana na Wajinga wajinga wasojielewa utakuta ni Mtopolo. Yaani kazini ukikiona Kibabu/Kijana kau kau kinaongea saaaana na kinapenda ushirikina na kupepeta mdomo usiulize timu yake tambua tu ni Utopolo OG!
Hii Lugha humu JF zamani haikuwepo. Maadmin naombeni mwongozo wenu.Vipi akili zimerudi?Mlipondwa na Mashujaa au Tabora United?Aliyetokwa na haja kubwa mpaka mpaka ukasahau aliyekubaka ni wewe zwazwa.Kinyeo kimerudi?
Kila siku wanapita mlango ambao sio wapo radhi kupigwa faini kila mechi lakini watimize tu matakwa ya ushirikinaHalafu wale wachawi saaaaaana na Wajinga wajinga wasojielewa utakuta ni Mtopolo. Yaani kazini ukikiona Kibabu/Kijana kau kau kinaongea saaaana na kinapenda ushirikina na kupepeta mdomo usiulize timu yake tambua tu ni Utopolo OG!
Bila shaka umeandika baada ya kujidunga sindano maana hilo povu kubwa mnoMashabiki wa Simba wana tabia za Kishangazi sana. Wivu mwiiiingi kukaa vibarazani kumpiga majungu jirani kisa tu anakuzidi .
Majungu na ushirikina ndio sifa kuu za shabiki wa Simba.
Gongowazi wameshatangaza kuhama Chamazi na kuhamia Uwanja wa KMC Mwenge.
Njama zao za ulozi zilidhibitiwa na kuwekwa wazi kuhusu kumwaga madawa na kujichoma sindano za kuongeza nguvu.
KMC pia kuna camera so walete.Baada ya mechi 2 watahamia Zanzibar.Safari hii ni spana kila mahali.
Hawakujidunga baada ya clip kuvujaš¤£š¤£Kama walivyowakimbikiza Tabora United mwanzo mwisho na kukoga goli 3.
Haya washahamia vp mtahama na nyie.Hamna wa kuwazuia hao wehu
Uwezi kujibu ujinga kama huu,kama vingekuwepo walipaswa kutoa TAARIFA mamlaka husika ndizo zingechunguza na kumtaka muhusika Kisha kumpatia adhabuAhmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.
Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Ahmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Co
Unapotafuta skendo za kipumbavu na unataka kiki halafu watu wanakushtukia na kukuona mpumbavu wanakaa kimya bila kukujibu lazima ujione mwehu , yeye mwenye hizo video ilipaswa azipeleke kwenye mamlaka husika ili zishughulikiwe na kupayuka tu , pili kwani hizo camera hazina uwezo wa kuonyesha matukio yote ysliyofanyika humo ndani na kama ilizibwa maafisa wa uwanja huo kwa nini hawakufuatilia soon baada ya kuona camera za chumba hicho hazionyeshi kila kinachoendelea ? Ukifuatilia hii sinario unaona wazi ni skendo ya kipumbavu na ya kutengenezwa hivyo rai yangu vilabu hivi vijenge viwanja vyao bila hivyo masaibu kama haya yataendelea kila leo kwa kuwa nyumba ya mtu inabaki kuwa ya mtu yupo huru kuongea lolote na kwa muda wowote atakaoAhmed Ally ameweka video yenye tuhuma nzito dhidi ya Young Africans kwamba wanataka kuhama Azam Complex baada ya kugundulika wakifanya uchawi, baadaye wakahamia vyumbani wakijichoma choma mauchafu ,wamesahau kuna CCTV cameras baada ya kugundua wakataka kuhama Azam Complex.
Hii ni tuhuma nzito Club ya Yanga wanatakiwa kujibu au kumshitaki kama siyo kweli, na kama ikibainika ni kweli wachukuliwa hatua kali, haiwezekani tunashindana na watu wanaojidunga mambo yao wanaojua kwenye ligi
Kwanini mbafugwa na Timu ambazo GSM hajadhamini tu alozodhamini mnachapa nyingi?Halafu mkifungwa mnasingizia GSM ananunua marefa kumbe mmewekeza kwenye umbea na majungu.