Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!


Juha ni yule mwenye kuabudu picha ya mzungu,
Huna llt ujualo we muha.
Ungetambua maana ya Dini usimwaga huu uharo hapa.

Tatizo lenu mnakunywa mataptap bado watoto wadogo matokeo yake mnaanza kuota ndevu za kolomelo bado watoto wadogo.

Katafute maana ya Dini kwanza halafu uone je unaweza kuishi hata masaa kadhaa bila Dini?

Mnfnssssss.
Maskio marefu ka manati.
 
Baada ya kusoma, ukaweka ‘like’ ukiunga mkono matusi


Matusi unayajua wewe muefeso?
We huna habari kule kuwa mgalatia tu peke yake kunakusababisha wewe automatically utukane?

Hicho kitabu chako unachosoma kila jumapili peke yake kimejaa matusi gunia mbili.
Vipi leo unakuwa na ujeuri we mluguru wa kusema watu wanatukana?
 
Mohamed Said nawasoma sana tu. Sina kamba mguuni.
Nimeshangazwa namna mnavyoshindwa kujibu swali rahisi sana mnabaki tu kuruka ruka jukwaaani.
Baado tunauliza....Ni halali au si halali?

Kurukaruka ni Tabia za kikafiri.
Sisi tabia hizo kwetu ni marufuku.

Sasa unapoongea na watu wenye umri sawa na babako jaribu kichagua maneno ya kuandika.
Bata maji wahed.
 
Remote naomba nilirudie swali hili tena. Nimeliuliza mara zaidi ya 50
?

Hivi wewe na Remote kuna uhusiano wa undani zaidi kuliko huu wa hapa Jukwaani?
Naona hata ile avatar yake kila akikujibu wee inazidisha kukata mauno!
Au ni macho yangu tu?
 
Last edited by a moderator:
Yani unaulizwa lingine unajibu usichoulizwa..!! sasa wewe mwanazuoni huko ambapo huwa unatowa/wasilisha papers ndio huwa unawajibu hivyo!!??

Mnyonga viuno. Mtoto mwenye utandawazi wa ubongo km wewe majibu ya maana hutoyaelewa hatta siku moja.
Kiwango chako ni kidogo mno.
Rudi kule chit chat. Hapa unapoteza muda wa watu bure.
 
Ungejibu swali la halal au haram tu!? haya mengineyo uliyoweka hata hatuyahitaji.

Watoto wa kindergarten ndio hutamani majibu ya namna hii.

Nimeshakwambia we ni bure kabisa.
Unauliza swali kama unakuja kununua vitumbua? Yaani unataka kujua tu km vitumbua vipo au hakuna! Bila kutambua kuwa kuna majibu zaidi ya hayo.

Kakojoe we mtoto, hapa umekosea Jukwaa.
 
Mnyonga viuno. Mtoto mwenye utandawazi wa ubongo km wewe majibu ya maana hutoyaelewa hatta siku moja.
Kiwango chako ni kidogo mno.
Rudi kule chit chat. Hapa unapoteza muda wa watu bure.
msalimie kahtaan nauliza je yupo ban!?
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3,

Nafikiri inakupasa urudi skuli kujifunza kaanua za tafiti hususan katika kuandika historia.

Siku zote kazi ya mwandishi ni kubainisha ukweli ulivyo tu japo unaweza kuwa mzuri kwa baadhwi ya watu na mbaya kwa baadhwi nyingine.LAKIN SI KAZI YAKE KUIAMULIA JAMII AU WASOMAJI WAKE. Kila anayesoma atakuwa na maamuzi yake.

Sasa suala lako ni dogo sana katika wasomi. UNATAKIWA soma maandiko yake kisha wewe mwenyewe amua kama mapinduzi ni halali au haramu. Kwa mwandishi kujibu hilo maana yake alikuwa na msimamo kabla kuanza utafiti wake jambo ambalo ni kinyume cha maadili na miiko ya uandishi.

Pole sana
 
Kurukaruka ni Tabia za kikafiri.
Sisi tabia hizo kwetu ni marufuku.

Sasa unapoongea na watu wenye umri sawa na babako jaribu kichagua maneno ya kuandika.
Bata maji wahed.

Umemaliza?
Turejee kwenye mada,
Ni halali au sio halali?

 
 
Umemaliza?
Turejee kwenye mada,
Ni halali au sio halali?


Hebu msome Barubaru kamjibu nini mwenzako mmoja huko juu:

 
Last edited by a moderator:
Sijaona jibu, ila naona tu nawewe umejiunga ku.....:flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig:

Wala sikushangai, macho unayo lakini hayaoni, masikio unayo kaini hayasikii, kwenye moyo wako kuna maradhi na hayapunguwi hayo yanazidi tu kila kukicha. Pole sana.
 
Nguruv3 na jokakuuu
Msikubali ukweli upotoshwe..pia kaka mohamed tukisimamia ukweli hata nafs ztatakasika
Historia ya nchi ni jambo kubwa tusitangulize ushabik
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…