Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!

Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!

Hapo ndipo mnapokosea kila mara,siku zote mnaingiza mara sheria/kanuni za dini kwenye mambo yasiyohusu dini.Mnakwepa maswali ya msingi kwa kuweka uwongo wa dini hapa hakuna dini itasalimika na uwongo.Nikutakeni yote wenye hyo kariba ya kuchanganya dini na mada zisizo dini mwache huo ujuha,tufanye mijadala na tujibu maswali bila kukwepa kwa kutumia vigezo vya kidini.

Juha ni yule mwenye kuabudu picha ya mzungu,
Huna llt ujualo we muha.
Ungetambua maana ya Dini usimwaga huu uharo hapa.

Tatizo lenu mnakunywa mataptap bado watoto wadogo matokeo yake mnaanza kuota ndevu za kolomelo bado watoto wadogo.

Katafute maana ya Dini kwanza halafu uone je unaweza kuishi hata masaa kadhaa bila Dini?

Mnfnssssss.
Maskio marefu ka manati.
 
Baada ya kusoma, ukaweka ‘like’ ukiunga mkono matusi


Matusi unayajua wewe muefeso?
We huna habari kule kuwa mgalatia tu peke yake kunakusababisha wewe automatically utukane?

Hicho kitabu chako unachosoma kila jumapili peke yake kimejaa matusi gunia mbili.
Vipi leo unakuwa na ujeuri we mluguru wa kusema watu wanatukana?
 
Mohamed Said nawasoma sana tu. Sina kamba mguuni.
Nimeshangazwa namna mnavyoshindwa kujibu swali rahisi sana mnabaki tu kuruka ruka jukwaaani.
Baado tunauliza....Ni halali au si halali?

Kurukaruka ni Tabia za kikafiri.
Sisi tabia hizo kwetu ni marufuku.

Sasa unapoongea na watu wenye umri sawa na babako jaribu kichagua maneno ya kuandika.
Bata maji wahed.
 
Remote naomba nilirudie swali hili tena. Nimeliuliza mara zaidi ya 50
?

Hivi wewe na Remote kuna uhusiano wa undani zaidi kuliko huu wa hapa Jukwaani?
Naona hata ile avatar yake kila akikujibu wee inazidisha kukata mauno!
Au ni macho yangu tu?
 
Last edited by a moderator:
Yani unaulizwa lingine unajibu usichoulizwa..!! sasa wewe mwanazuoni huko ambapo huwa unatowa/wasilisha papers ndio huwa unawajibu hivyo!!??

Mnyonga viuno. Mtoto mwenye utandawazi wa ubongo km wewe majibu ya maana hutoyaelewa hatta siku moja.
Kiwango chako ni kidogo mno.
Rudi kule chit chat. Hapa unapoteza muda wa watu bure.
 
Ungejibu swali la halal au haram tu!? haya mengineyo uliyoweka hata hatuyahitaji.

Watoto wa kindergarten ndio hutamani majibu ya namna hii.

Nimeshakwambia we ni bure kabisa.
Unauliza swali kama unakuja kununua vitumbua? Yaani unataka kujua tu km vitumbua vipo au hakuna! Bila kutambua kuwa kuna majibu zaidi ya hayo.

Kakojoe we mtoto, hapa umekosea Jukwaa.
 
Mnyonga viuno. Mtoto mwenye utandawazi wa ubongo km wewe majibu ya maana hutoyaelewa hatta siku moja.
Kiwango chako ni kidogo mno.
Rudi kule chit chat. Hapa unapoteza muda wa watu bure.
msalimie kahtaan nauliza je yupo ban!?
 
Last edited by a moderator:
Mohamed, sasa kama huna uhakika na habari unazoandika, unapata wapi nguvu za kusimamia hoja hiyo tena ukisema historia ya kweli

Ni mara ngapi katika mnkasha huu umetuwekea mabandiko ukiwanukuu watu waliohusika?

Leo unawezaje kutuambia hujui, ikiwa wewe ndiye unaeleza kuhusu Kipumbwi?

Ndio maana tunasema, kuna walakini, tena mkubwa. Leo Mohamed hawezi kusema mapinduzi ni halali au ni haramu. Kesho anatualmbia Nyerere mbaya sana, kaenda kuua watu Znz!

Mohamed, wapi unaposimama katika hili. Mapinduzi ni halali au ni haramu
Unawaeleza nini Wazanzibar, kwamba waendelee kuyaenzi au waachane na 'udhalimu' wa Nyerere?

Vijana wamechanganyikiwa, tuwekee sawa mzee wetu
Nguruvi3,

Nafikiri inakupasa urudi skuli kujifunza kaanua za tafiti hususan katika kuandika historia.

Siku zote kazi ya mwandishi ni kubainisha ukweli ulivyo tu japo unaweza kuwa mzuri kwa baadhwi ya watu na mbaya kwa baadhwi nyingine.LAKIN SI KAZI YAKE KUIAMULIA JAMII AU WASOMAJI WAKE. Kila anayesoma atakuwa na maamuzi yake.

Sasa suala lako ni dogo sana katika wasomi. UNATAKIWA soma maandiko yake kisha wewe mwenyewe amua kama mapinduzi ni halali au haramu. Kwa mwandishi kujibu hilo maana yake alikuwa na msimamo kabla kuanza utafiti wake jambo ambalo ni kinyume cha maadili na miiko ya uandishi.

Pole sana
 
Kurukaruka ni Tabia za kikafiri.
Sisi tabia hizo kwetu ni marufuku.

Sasa unapoongea na watu wenye umri sawa na babako jaribu kichagua maneno ya kuandika.
Bata maji wahed.

Umemaliza?
Turejee kwenye mada,
Ni halali au sio halali?

 
Mkirua,
Ukitaka uwe mtu wa kuheshimiwa na uwe msomi makini chunga lugha yako.
Lugha, "kurukaruka," ni matusi, kejeli na kebehi.

Nitakufunza adabu ya mjadala.
Ingekuwa mie ni wewe swali hilo ningeliliuliza hivi:

"Mohamed Said nimeshanga namna mnavyoshindwa kujibu swali hili rahisi
mimi nakuomba utuoe jibu...ni halali au si halali?"
[
/QUOTE]


Aksante sana kwa darsa babu Mohammed Said. Sikujua kuruka ruka ni matusi. Leo nimeongeza hili neno katika "orodha ya Matusi" ninayoyafahamu. Kwakuwa umetunyooshea vizuri swali tungefarijika sasa ukatuwekea na jibu kwani mwalimu mzuri wa kurekebisha maswali lazima uwe na majibu.... Ni halali au si halali?


 
Umemaliza?
Turejee kwenye mada,
Ni halali au sio halali?


Hebu msome Barubaru kamjibu nini mwenzako mmoja huko juu:

Nguruvi3,

Nafikiri inakupasa urudi skuli kujifunza kaanua za tafiti hususan katika kuandika historia.

Siku zote kazi ya mwandishi ni kubainisha ukweli ulivyo tu japo unaweza kuwa mzuri kwa baadhwi ya watu na mbaya kwa baadhwi nyingine.LAKIN SI KAZI YAKE KUIAMULIA JAMII AU WASOMAJI WAKE. Kila anayesoma atakuwa na maamuzi yake.

Sasa suala lako ni dogo sana katika wasomi. UNATAKIWA soma maandiko yake kisha wewe mwenyewe amua kama mapinduzi ni halali au haramu. Kwa mwandishi kujibu hilo maana yake alikuwa na msimamo kabla kuanza utafiti wake jambo ambalo ni kinyume cha maadili na miiko ya uandishi.

Pole sana
 
Last edited by a moderator:
Sijaona jibu, ila naona tu nawewe umejiunga ku.....:flypig::flypig::flypig::flypig::flypig::flypig:

Wala sikushangai, macho unayo lakini hayaoni, masikio unayo kaini hayasikii, kwenye moyo wako kuna maradhi na hayapunguwi hayo yanazidi tu kila kukicha. Pole sana.
 
Nguruv3 na jokakuuu
Msikubali ukweli upotoshwe..pia kaka mohamed tukisimamia ukweli hata nafs ztatakasika
Historia ya nchi ni jambo kubwa tusitangulize ushabik
 
Mkirua,
Ukitaka uwe mtu wa kuheshimiwa na uwe msomi makini chunga lugha yako.
Lugha, "kurukaruka," ni matusi, kejeli na kebehi.

Nitakufunza adabu ya mjadala.
Ingekuwa mie ni wewe swali hilo ningeliliuliza hivi:

"Mohamed Said nimeshanga namna mnavyoshindwa kujibu swali hili rahisi
mimi nakuomba utuoe jibu...ni halali au si halali?"
[
/QUOTE]


Aksante sana kwa darsa babu Mohammed Said. Sikujua kuruka ruka ni matusi. Leo nimeongeza hili neno katika "orodha ya Matusi" ninayoyafahamu. Kwakuwa umetunyooshea vizuri swali tungefarijika sasa ukatuwekea na jibu kwani mwalimu mzuri wa kurekebisha maswali lazima uwe na majibu.... Ni halali au si halali?



Mkirua,
Inawezekana kuwa hujui kumwambia mtu kuwa anarukaruka ni tusi.
Hata mie nimeingia katika mtego huo uliokunasa wewe.

Kuna neno Maalim Faiza kalitumia katika jibu lake zuri sana ambalo
mimi nililiwekea "like."

Aliyejibiwa akaniambia kuwa mimi naunga mkono matusi na nilimjibu
kuwa kwetu hilo neno tunalitumia hata mbele ya wazee wetu kwani si
tusi.

Lakini nikizingatia kuwa lugha ya Kiswahili unasemwa na wengi na kila
jamii ina uelewa wake katika baadhi ya maneno nikamuomba radhi
anisamehe.

Mkirua,
Wewe nimefahamisha kuwa unenitukana jibu lako ndilo hilo ulolileta
hapa barzani...kiburi, kiburi, kiburi.

Haijakupitikia kuwa kweli umetukana kwa jinsi jamii nyingine inavyochukulia
hilo neno.

Lakini sikulaumu.
Huenda kwenu hukufunzwa.

Mimi nimefunzwa adabu kabla hata sijaanza chuo (madras) na nilipofika
madras baadhi ya adab niliyofunzwa ni adab ya majadiliano (mnakasha).

Ikiwa utanieleza mimi kama nimekutukana mathalan.
Kitakachofata kutoka kwangu si majibu ya kejeli bali ni kukutaka radhi.

Pitia maandiko yangu hapa Majlis utaona tofauti kubwa sana.
Sasa narejea kwenye uhalili na uharamu swali ambalo linachoma nyoyo
zenu sana.

Nimejibu mara nyingi tu kuwa hilo si swali kwani kuna swali na swali na
nikatoa mfano wa jinsi Sheikh Hassan bin Amir alipokuwa anadarsisha
alikuwa hajibu swali ambalo watu wanataka jibu lake kufa na kupona.

Sheikh Hassan alikuwa akiwaambia wasome hilo somo wao wenyewe
watapata jibu.

Nitakuwa mjinga sana mimi ikiwa baada ya kuwasoma wanazuoni wakubwa
kama hawa leo niwaghalif mimi mtu mdogo sana ambae hata viatu vyao
siwezi kuwabebea.

Nitakuwa nimetoka chuoni bila ya kujifunza kitu.
 
Back
Top Bottom