Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Hatakujibu atazunguka zunguka. Hili swali nimemuuliza takribani miaka 2 hana jibu. Ni swali lililo njia panda, na hataki kulijibu. Kwa vile hawezi kujibu, sijui kama tutakosea tukisema anaeneza fitna.
Kuhusu Havard, cChenge kasoma Havard! ehe!
yeye kadai hapo juu kwenye post ya Ngongo kwamba swali lako lina mtego.. kwahio ndio kusema yupo radhi kuficha muono/maoni na jawabu lake ktk hilo kwasababu tu ya kukwepa MTEGO.
mkuu hebu toa huo mtego tupate jawabu uliza kwa namna nzuri.
Ahsanta
Last edited by a moderator: