Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!

Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!

Mkuu JokaKuu samahani 'kuchepuka'' ni katika kuweka kumbu kumbu sawa

Turejee katika mada ya mkuu
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3, Mohamed Said,

..historia ya Znz ni vizuri ikaandikwa na outsiders ambao hawataelemea upande mmoja

..kinyume cha hapo tutabaki na historia za Ramadhani Mapuri vs Dr.Harith Ghassany.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi3, Mohamed Said,

..historia ya Znz ni vizuri ikaandikwa na outsiders ambao hawataelemea upande mmoja

..kinyume cha hapo tutabaki na historia za Ramadhani Mapuri vs Dr.Harith Ghassany.

Joka Kuu,
Huwezi kufananisha kitabu cha Dr. Harith Ghassany na kitabu cha Ramadhani
Mapuri
.

Hata siku moja.
Mmoja ni kada wa CCM na mwingine ni msomi wa Harvard.

Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kazi za makada.

Kuna kitabu cha Historia ya TANU 1954 - 1977 kilichoandikwa na Kivukoni Ideological
College.

Ukiwa hujakisoma kitafute usuuzike na nafsii yako.
Kuna kitabu cha maisha ya Rashid Mfaume Kawawa alichoandika Dr. John Magoti
http://www.mohammedsaid.com/2013/12/mapitio-ya-kitabu-simba-wa-vita-katika.html

Kitafute ustarehe.

Mimi sitaki kutia neno nakuachia wewe na Majlis mvisome vitabu hivyo kisha mlete
khabari hapa jamvini.

Sasa kumleta Mapuri...
Huu ni mzaha mbaya.

Msome Mapuri kisha msome Dr. Ghassany uone tofauti iliyopo - chalk and cheese.
Hao "outsiders" weshaandika.

Hakuna jipya litakalotoka kwao leo baada ya nusu karne.

Prof. Mohamed Bakari anasema ni bora tukaandika historia zetu wenyewe badala
ya kusubiri Wazungu watuandikie kwa kuwa wataandika mambo sisi hatukubaliani nayo.
 
Joka Kuu,
Huwezi kufananisha kitabu cha Dr. Harith Ghassany na kitabu cha Ramadhani
Mapuri
.

Hata siku moja.

Msome Mapuri kisha msome Dr. Ghassany uone tofauti iliyopo - chalk and cheese.
Hao "outsiders" weshaandika.

Hakuna jipya litakalotoka kwao baada ya nusu karne.

Prof. Mohamed Bakari anasema ni bora tukaandika historia zetu wenyewe badala
ya kusubiri Wazungu watuandikie kwa kuwa wataandika mambo sisi hatukubaliani nayo.


..u can not see these things wakati Dr.Ghassany ni rafiki yako.

..hawa ndugu zetu bado wamegawanyika kati ya wanaoumuunga mkono Sultani na wanaounga mkono mapinduzi.
 
Joka Kuu,
Huwezi kufananisha kitabu cha Dr. Harith Ghassany na kitabu cha Ramadhani
Mapuri
.

Hata siku moja.
Mmoja ni kada wa CCM na mwingine ni msomi wa Harvard.

Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kazi za makada.

Kuna kitabu cha Historia ya TANU 1954 - 1977 kilichoandikwa na Kivukoni Ideological
College.

Ukiwa hujakisoma kitafute usuuzike na nafsii yako.
Kuna kitabu cha maisha ya Rashid Mfaume Kawawa alichoandika Dr. John Magoti

Kitafute ustarehe.

Mimi sitaki kutia neno nakuachia wewe na Majlis mvisome vitabu hivyo kisha mleta
khabari hapa jamvini.

Sasa kumleta Mapuri...
Huu ni mzaha mbaya.

Msome Mapuri kisha msome Dr. Ghassany uone tofauti iliyopo - chalk and cheese.
Hao "outsiders" weshaandika.

Hakuna jipya litakalotoka kwao leo baada ya nusu karne.

Prof. Mohamed Bakari anasema ni bora tukaandika historia zetu wenyewe badala
ya kusubiri Wazungu watuandikie kwa kuwa wataandika mambo sisi hatukubaliani nayo.
Mudeer, Mohamed Said.

Nipo pembeni nakusoma na nakufuatilia kwa ukaribu mno unavyotoa darsa.
 
Ahmed Rajab amejidharilisha sana, tatizo za mwandishi huyu nguli ni ile dhana ya ubinafsi wa kihistoria na kujiweka juu ya historia ya Zanzibar, anapotokea Mtu mwingine anafanya utafiti na kuandika historia, kwa vile si yake au hajashilikishwa basi anaona haijakamilika. History is not a monopoly of one person.
 
..u can not see these things wakati Dr.Ghassany ni rafiki yako.

..hawa ndugu zetu bado wamegawanyika kati ya wanaoumuunga mkono Sultani na wanaounga mkono mapinduzi.
Katika kufunika hilo la rangi, Mohamed anasema huyu ni msomi wa Havard
 
..u can not see these things wakati Dr.Ghassany ni rafiki yako.

..hawa ndugu zetu bado wamegawanyika kati ya wanaoumuunga mkono Sultani na wanaounga mkono mapinduzi.
JokaKuu,
Leo hii kuna watu wanaomuunga mkono Sultani?
 
Mohamed, sasa kama huna uhakika na habari unazoandika, unapata wapi nguvu za kusimamia hoja hiyo tena ukisema historia ya kweli

Ni mara ngapi katika mnkasha huu umetuwekea mabandiko ukiwanukuu watu waliohusika?


Leo unawezaje kutuambia hujui, ikiwa wewe ndiye unaeleza kuhusu Kipumbwi?


Ndio maana tunasema, kuna walakini, tena mkubwa. Leo Mohamed hawezi kusema mapinduzi ni halali au ni haramu. Kesho anatualmbia Nyerere mbaya sana, kaenda kuua watu Znz!

Mohamed, wapi unaposimama katika hili. Mapinduzi ni halali au ni haramu
Unawaeleza nini Wazanzibar, kwamba waendelee kuyaenzi au waachane na 'udhalimu' wa Nyerere?

Vijana wamechanganyikiwa, tuwekee sawa mzee wetu

Kwanza mbona unauliza swali la kijinga, kama ni Alama Mohamed Said kaandika hayo si uweke nukuu ya alichokiandika? Tukuamini vipi wakati unayasema wewe bila nukuu yoyote?

Pili, ni wapi Alama Mohamed Said kasema "hajui" kwenye hilo jibu alilokupa (nnakuwekea chini hapa utuoneshe).

Tatu, ni wapi Alama Mohamed Said alipoandika "Nyerere mbaya sana", tuoneshe, ukishindwa, basi ujuwe hayo ni yako na si yake na huo Waswahili huwa tunauita ufataani.

quote_icon.png
By Mohamed Said
Nguruvi3,
Umebadilika sana ndugu yangu.
Si Nguruvi3 yule niliyemzoea.

Mimi si niliyedai kuwa kuna jeshi lilitoka Kipumbwi.

Walosema hayo ni Victor Mkello na Mohamed Omari Mkwawa na wakataja
wahusika walikuwa Ali Mwinyi Tambwe na Jumanne Abdallah.

Hayo mengine wakujibu si mie atajibu mwandishi wa kitabu, "Kwaheri Ukoloni
Kwaheri Uhuru" Dr. Ghassany ikiwa ataona iko haja ya kufanya hivyo.

Mwisho nitakudokeza kitu.

Kuna taarifa mpya ya "mole" aliyekuwa ndani ya TAA hadi TANU na alihusika
sana na kambi ya Kipumbwi.
 
Mohamed Said huwa anaandika historia zisizokuwa balanced, historia zake huwa zinaongozwa na mihemko, iwe ya kidini au kundi analoliunga mkono atalipamba na kufunija uchafu wake. Inashangaza, eti mtu anaandika historia ya Wazee wake huku hakiacha kuitaja jamii ya watu wengine ambao walikuwa pamoja na wazee wake, au anawataja bila kueleza mazuri waliyoyafanya.
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi 3,
Unataka mimi ndiye niseme kuwa mapinduzi ni haramu.
Haya nikishasema hilo ndiyo iwe nini?

Nani kakuambia kuwa mimi sina uhakika na niyasemayo?
Mimi nakupa habari ambazo hujapata kuzisikia popote duniani.

Nyie mlimjua Mzee Mkwawa Kamanda wa Jeshi la Kipumbwi?

Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah, Victor Mkello...watafiti
wameandika historia ya Mapinduzi ya Zanzibar lakini wahusika hawa
hawakuwako katika kurasa zao.

Ngoja nikuongeze kitu kingine usichojua.
Kuhusu mauaji...

Wazee wetu wengi walihusika katika namna moja au nyingine katika
yale mapinduzi lakini hii leo hakuna anaetaka jina lake lihusishwe na
mapinduzi kwa sababu ya yale mauaji yasiyokuwa ya lazima kamwe
yaliyotokea wakati serikali tayari ilikuwa imeshaanguka.

Unajua Abdul Sykes alimwambia nini Issa Nasser Al Ismaily
alipomuuliza kuhusu yaliyotokea Zanzibar?

Issa Nasser ndiye aliyeandika, "Kinyang'anyiro na Utumwa Zanzibar."
Ikiwa huyajui majibu ya Abdul Sykes nifahamishe nitakueleza.

Ali Mwinyi Tambwe kapewa medali ya mapinduzi katika kusheherekea
miaka 50 ya mapinduzi lakini alipokuwa hai hakutaka kabisa jina lake
lihusishwe na kadhia hiyo.

Sisi ni Waislam na tunajua dhima ya kutoa roho pasi na haki.

mzee wangu mapinduzi yalikuwa halal au haram!!?? nisaidie kijana wako naona wajibu usivyoulizwa..
ahsanta
 
Remote,
Mathalan nikisema mapinduzi haram au halal ndiyo iwe nini?
 
Mohamed Said huwa anaandika historia zisizokuwa balanced, historia zake huwa zinaongozwa na mihemko, iwe ya kidini au kundi analoliunga mkono atalipamba na kufunija uchafu wake. Inashangaza, eti mtu anaandika historia ya Wazee wake huku hakiacha kuitaja jamii ya watu wengine ambao walikuwa pamoja na wazee wake, au anawataja bila kueleza mazuri waliyoyafanya.
Kyenju,
Nipe ushahidi.
Ungesoma kitabu kabla ya kujadili ungewaona hao niliowataja.

Ikiwa wewe ni wale walio wavivu wa kusoma soma "name index,"
utawakuta hao unaosema hawakutajwa.

Angalia contents ya kitabu:
[TABLE="width: 601"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Table of Contents
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1. Dedication[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2. Acknowledgements[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3. Table of Contents[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4. Introduction[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Part One
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Abdulwahid Sykes 1924-1968
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 1. The Sykes: Origins 1894-1929[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Old Town of Dar es Salaam and its Elites[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Kleist Sykes, Pioneer and Man of Ideas: 1894-1949[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· World War One 1914-1918[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Founding of the African Association and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association of Tanganyika), 1929-1933[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 2.The Second World War and Tanganyika's Political Foundation, 1938-1945
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Burma Infantry, 1942[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 3. Dar es SalaamDockworkers Movement 1947-1950[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Dar es Salaam Port, 1947[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Erika Fiah[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Dockworkers' Union, 1948[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 4. The Genesis of Open Politics in Tanganyika 1950 -1954[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Tanganyika African Association, 1950[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· TAA Political Subcommittee, 1951[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Tanganyika as a Mandate Territory[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Kenyan Nationalists in the Struggle of Tanganyika,1950[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· TAA and KAU: Attempts at Linkage and Solidarity, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Meru Land Evictions, 1950[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 5. Julius Kambarage Nyerere [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Story of Julius Nyerere, 1952[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Tanganyika African National Union (TANU)-The Party of Independence, 1954[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 6. The Pan African Congress of Northern Rhodesia, 1953[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ally Kleist Sykes[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Part Two
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mass Mobilisation and Independence 1954-1961
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 7. Mass Mobilisation 1954[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Elders' Council and Nyerere's Visit to the United Nations, New York, 1954[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Idd Faiz Mafongo [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The African Press-Ramadhani Mashado Plantan, 1950[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Ahmed Rashad Ali-Radio Free Africa (Radio ya Afrika Huru), 1952 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Propagandists-The Bantu Group,1955[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Incorporation of Swahili Women's Societies into the Struggle, 1955[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Football As a Political Weapon[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 8. The Formation of the Party in the Provinces[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Central Province, 1955[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Southern Province, 1955[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Western Province, 1955[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Tanga Province, 1956[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· TANU in Mombasa, Kenya, 1957[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 9. The Tabora Conference-The Road to Independence, 1958[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Tanga Strategy, 1958[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Debate for Tripartite Voting[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Pan-African Movement of East and Central Africa (PAFMECA), 1958[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Independence, 1961[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Part Three
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Conspiracy Against Islam 1961-1970
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 10. The Muslim Factor in Post-Independence Tanzania 1961-1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Islam: The Ideology of Colonial Resistance[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The First Muslim Congress, 1962[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Resistance to Change[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Second Muslim Congress, 1963[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Proposal for an Islamic University, 1964[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Politics of Islam, Church, State and the African Christian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chapter 11. The East African Muslim Welfare Society (EAMWS) ‘Crisis'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Fomentation of the BAKWATA ‘Crisis'[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Nyerere, Tewa, Bibi Titi Encounter, 1968[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· The Islamic National Conference, 1968[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Omissions Analysed[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Betrayal of Ideals[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Conspiracy Theory[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Epilogue [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]· Bibliography[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Haaa Remote sasa hapa unatafuta ugomvi na Sheikh Mohamed Said buree mimi sipo swali hili kaulizwa kwingi na Mkuu Nguruvi3 tangu mwaka jana kashindwa kulijibu anazunguka zunguka kama pia Dada yake FaizaFoxy kajaribu kumwokoa wapi asiumbuke zaidi.Nina uhakika hawezi kukujibu na akikupatia jibu basi jua si jibu la moja kwa moja litakuwa jibu la kuegesha egesha.

mzee wangu mapinduzi yalikuwa halal au haram!!?? nisaidie kijana wako naona wajibu usivyoulizwa..
ahsanta
 
Last edited by a moderator:
Joka Kuu,
Huwezi kufananisha kitabu cha Dr. Harith Ghassany na kitabu cha Ramadhani
Mapuri
.

Hata siku moja.
Mmoja ni kada wa CCM na mwingine ni msomi wa Harvard.

Binafsi nina uzoefu mkubwa wa kazi za makada.

Kuna kitabu cha Historia ya TANU 1954 - 1977 kilichoandikwa na Kivukoni Ideological
College.

Ukiwa hujakisoma kitafute usuuzike na nafsii yako.
Kuna kitabu cha maisha ya Rashid Mfaume Kawawa alichoandika Dr. John Magoti
http://www.mohammedsaid.com/2013/12/mapitio-ya-kitabu-simba-wa-vita-katika.html

Kitafute ustarehe.

Mimi sitaki kutia neno nakuachia wewe na Majlis mvisome vitabu hivyo kisha mlete
khabari hapa jamvini.

Sasa kumleta Mapuri...
Huu ni mzaha mbaya.

Msome Mapuri kisha msome Dr. Ghassany uone tofauti iliyopo - chalk and cheese.
Hao "outsiders" weshaandika.

Hakuna jipya litakalotoka kwao leo baada ya nusu karne.

Prof. Mohamed Bakari anasema ni bora tukaandika historia zetu wenyewe badala
ya kusubiri Wazungu watuandikie kwa kuwa wataandika mambo sisi hatukubaliani nayo.

Hivi Harvad University ni 'Tunguri ' ya kwamba unauwezo saaaana kama Nyoka wa Makengeza!?

Mzee wetu mpendwa kaa kwenye mstari wa hoja mezani, mtupe elimu wajukuu zenu.
 
Back
Top Bottom