Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!

Ahmed Rajab akosoa historia ilivyoandikwa na Dr.Ghassany!!

Hivi Harvad University ni 'Tunguri ' ya kwamba unauwezo saaaana kama Nyoka wa Makengeza!?

Mzee wetu mpendwa kaa kwenye mstari wa hoja mezani, mtupe elimu wajukuu zenu.
Mwandwanga,
Nakaa kwenye mstari wa hoja kama ulivyoniambia.
Baada ya kukaa sasa nakupa "home work."

Soma kuhusu Chuo Cha Harvard kisha rejea hapa.
Unaweza ukanisoma hapa nini nimesema kuhusu uandishi wa makada.

Hayo hapo chini yanatoka kwenye kitabu cha Abdul Sykes:
[TABLE="width: 601"]
[TR]
[TD]In 1974 President Julius Nyerere granted the responsibility of recording the history of TANU to Kivukoni Ideological College. Kivukoni College was established in the tradition of Ruskin College of Britain. Kivukoni was and still is a training centre for propaganda and mass indoctrination for party cadres. Kivukoni, therefore, was unsuitable for any serious research work. In 1976, at the 16 th TANU conference, Nyerere again insisted on having an official history of the Party. Official histories always have failed in objectivity as observed by Maslov:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]"Depersonification of the past is yet another drawback of the literature dealing with the history of the CPSU. In textbooks and research papers, historic personalities are as a rule, just inserted in the general ‘list' and some are not mentioned at all. "[1] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]In 1985, President Nyerere, while conferring an honorary degree on Basil Davidson, challenged the University of Dar es Salaam to write a correct history of Tanzania. In 1988, while commemorating thirty years of the Tabora Declaration, Nyerere in reference to early TANU members and as a tribute to them Nyerere asked the Party to take stock of those who joined TANU between 1954 and 1958. Nyerere said: "That was the most trying period in the history of our Party and few people were courageous enough to join and work for the Party." [2]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]In supporting Nyerere for his recent call and taking up the challenge to record a correct history which he had for the first advanced in 1974 and again in 1985 the present author published an article in African Events [3] in which Abdulwahid and other forgotten TANU pioneers received prominence. In that article the author did what no other scholar had done before. He mentioned the fact that Muslims were in the forefront during the struggle for independence. It was at that time taboo to associate Islam or Muslims with the independence movement. The author received sharp rebuke from a Party historian, Dr Mayanja Kiwanuka, a leading member of the panel which wrote the Party book Historia ya Chama Cha TANU 1954-1977, the official history of the Party. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1]For understanding problems of official histories see article by Dr Nikolai Maslov,‘Questions
of History of the Communist Party of Soviet Union.' in Daily News, 24 th October, 1987. For
purpose of comparison see Historia ya Chama...op. cit.

[2] Daily News, 6 th October, 1988.

[3] See M. Said, ‘In Praise of Ancestors' Africa Events, London, March/April 1988, pp. 37-41.

Mwandwanga,
Hii ni ziada na hidaya kutoka kwangu soma uelimike kuhusu historia ya TANU:
http://www.mohammedsaid.com/2014/06/kutoka-jf-africa-events-na-historia-ya.html
 
Haaa Remote sasa hapa unatafuta ugomvi na Sheikh Mohamed Said buree mimi sipo swali hili kaulizwa kwingi na Mkuu Nguruvi3 tangu mwaka jana kashindwa kulijibu anazunguka zunguka kama pia Dada yake FaizaFoxy kajaribu kumwokoa wapi asiumbuke zaidi.Nina uhakika hawezi kukujibu na akikupatia jibu basi jua si jibu la moja kwa moja litakuwa jibu la kuegesha egesha.

Ngongo,
Sijashindwa kujibu swali kwani kna swali na swali.
Sheikh Hassan bin Amir alikuwa akiulizwa swali la mtego alikuwa hajibu.

Alikuwa anamuambia muulizaji,"Soma wewe mwenyewe jibu utalipata."

Mimi napoulizwa swali la uharamu na uhalali kwangu si kitu cha kunishughulisha
ndipo hujibu kuwa nikukuambia ni halali au haramu ndiyo iwe nini?

Anapotoka mtu akaniuliza swali nami nikajua huyu anataka kujua basi hapo
nitajibu na ikiwa ninavyo vya ziada nitamwekea.

Hivi ndivyo ilm inavyotolewa na ikanufaisha jamii si ubishi na maswali ya mtego.
 
Sheikh Mohamed Said sijaona mtego hapa umeulizwa swali jepesi sana Mapinduzi matukufu yaliyorejesha heshma na utu wa mwafrika Zanzibar yalikuwa haram au halali.Ikiwa jibu ni haram tuambie kwa vipi akiwa jibu ni halali hapana sababu ya kuambia maana mimi naamini mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyoongozwa na Field Marshal John Okelo ambaye historia inamweka kando kabisa yalikuwa halal.

Ngongo,
Sijashindwa kujibu swali kwani kna swali na swali.
Sheikh Hassan bin Amir alikuwa akiulizwa swali la mtego alikuwa hajibu.

Alikuwa anamuambia muulizaji,"Soma wewe mwenyewe jibu utalipata."

Mimi napoulizwa swali la uharamu na uhalali kwangu si kitu cha kunishughulisha
ndipo hujibu kuwa nikukuambia ni halali au haramu ndiyo iwe nini?

Anapotoka mtu akaniuliza swali nami nikajua huyu anataka kujua basi hapo
nitajibu na ikiwa ninavyo vya ziada nitamwekea.

Hivi ndivyo ilm inavyotolewa na ikanufaisha jamii si ubishi na maswali ya mtego.
 
Sheikh Mohamed Said sijaona mtego hapa umeulizwa swali jepesi sana Mapinduzi matukufu yaliyorejesha heshma na utu wa mwafrika Zanzibar yalikuwa haram au halali.Ikiwa jibu ni haram tuambie kwa vipi akiwa jibu ni halali hapana sababu ya kuambia maana mimi naamini mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyoongozwa na Field Marshal John Okelo ambaye historia inamweka kando kabisa yalikuwa halal.

Ngongo,
Ikiwa wewe hujaona mtego mimi nimeuona na nimepita pembeni usinifyatukie.
Unakuja na mengine ya "mapinduzi matukufu."

Unakuja na suala la rangi.
Unakuja na John Okello kuwa ndiye aliyeongoza mapinduzi.

Haya yanahitaji uzi wa pekee na In Sha Allah nipo nitafanya darsa maalum.
Fungua uzi.

Kabla hujafungua uzi nakupa hidaya hii uanzenayo:
Mohamed Said: KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI - AZAM TV

Mohamed Said: Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar:

Mohamed Said: Miaka 50 ya Muungano: Kuijua Historia ya Muungano Lazima Uijue Historia ya Kweli ya Mapinduzi ya Zanzibar
 
Ngongo,
Ikiwa wewe hujaona mtego mimi nimeuona na nimepita pembeni usinifyatukie.
Unakuja na mengine ya "mapinduzi matukufu."

Unakuja na suala la rangi.
Unakuja na John Okello kuwa ndiye aliyeongoza mapinduzi.

Haya yanahitaji uzi wa pekee na In Sha Allah nipo nitafanya darsa maalum.
Fungua uzi.

Kabla hujafungua uzi nakupa hidaya hii uanzenayo:
Mohamed Said: KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI - AZAM TV

Mohamed Said: Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar:

Mohamed Said: Miaka 50 ya Muungano: Kuijua Historia ya Muungano Lazima Uijue Historia ya Kweli ya Mapinduzi ya Zanzibar

Ungejibu swali la halal au haram tu!? haya mengineyo uliyoweka hata hatuyahitaji.
 
Sheikh Mohamed Said "Mapinduzi Matukufu" yamekuwa kero !.Halafu unakosea sana unapomtaja kiongozi maarufu pasipo kutia cheo au wadhifa wake Field Marshal John Okello.Mimi siwezi kutaja Said Natepe bila kutia wadhifa aliokuwa nao JWTZ Maj Gen Abdallah Said Natepe au Dr Prof Col Kikwete Jakaya.Ikiwa wewe hata kutambua wadhifa wa Field Marshal John Okello inakutia unyonge basi hata mchango wake si rahisi kuutambua.

Ngongo,
Ikiwa wewe hujaona mtego mimi nimeuona na nimepita pembeni usinifyatukie.
Unakuja na mengine ya "mapinduzi matukufu."

Unakuja na suala la rangi.
Unakuja na John Okello kuwa ndiye aliyeongoza mapinduzi.

Haya yanahitaji uzi wa pekee na In Sha Allah nipo nitafanya darsa maalum.
Fungua uzi.

Kabla hujafungua uzi nakupa hidaya hii uanzenayo:
Mohamed Said: KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI - AZAM TV

Mohamed Said: Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar:

Mohamed Said: Miaka 50 ya Muungano: Kuijua Historia ya Muungano Lazima Uijue Historia ya Kweli ya Mapinduzi ya Zanzibar
 
Last edited by a moderator:
Ungejibu swali la halal au haram tu!? haya mengineyo uliyoweka hata hatuyahitaji.

Ngoja nikufahamishe Kiislam, haram si kazi yetu ni kazi ya Mwenyeezi Mungu na kisha ainisha kipi haram na kisha sema nimekuhalalishieni vilivyo vyema.

Kuuwa mtu ambae hajahukumiwa kifo ni haram. Kula nguruwe ni haram. Kuzini ni haram. Na mengineyo mengi yaliyo haramishwa, pitia Qur'an utayaona na utajuwa vya haram ni vipi.

Hamna Muislam anaeweza kuharamisha ambacho Mwenyeezi Mungu hajaharamisha na kama hajaharamisha basi hicho ni hilal au kinaweza kuwa makruh. Makruh ni kile amabacho hakijaharamishwa lakini kina kirihisha wengine "karaha".

Uhalali na Uharamu kwetu hauamuliwi na mchungaji.
 
Ungejibu swali la halal au haram tu!? haya mengineyo uliyoweka hata hatuyahitaji.

Remote,
Huenda kweli wewe hutaki kujua zaidi ya ukijuacho kwa hiyo si muhitaji ya
haya.

Juu ya hivyo kaa ukijua kuwa wako wengi sana ambao wangependa kujua
kile ambacho huwezi kukipata kokote isipokuwa kwangu.

Hii Majlis inaingiwa na watu wengi.
Kuna mwingine ndiyo leo hii ananisoma hajapatapo kunijua hata siku moja.

Mimi ninapoandika huwa naikusudia dunia na wasomaji wapya sikukusudii wewe
peke yako.
 
Ngoja nikufahamishe Kiislam, haram si kazi yetu ni kazi ya Mwenyeezi Mungu na kisha ainisha kipi haram na kisha sema nimekuhalalishieni vilivyo vyema.

Kuuwa mtu ambae hajahukumiwa kifo ni haram. Kula nguruwe ni haram. Kuzini ni haram. Na mengineyo mengi yaliyo haramishwa, pitia Qur'an utayaona na utajuwa vya haram ni vipi.

Hamna Muislam anaeweza kuharamisha ambacho Mwenyeezi Mungu hajaharamisha na kama hajaharamisha basi hicho ni hilal au kinaweza kuwa makruh. Makruh ni kile amabacho hakijaharamishwa lakini kina kirihisha wengine "karaha".

Uhalali na Uharamu kwetu hauamuliwi na mchungaji.

Sasd dada Faiza kwenye mnakasha huu mambo ya mchungaji yanatoka wapi tena? Bora ungemtaja sheikh.
 
Sasd dada Faiza kwenye mnakasha huu mambo ya mchungaji yanatoka wapi tena? Bora ungemtaja sheikh.

Kwa sababu wengine wanahalalishiwa na kuharamishiwa vitu na wachungaji na mpaka kusamehewa dhambi, kwa hiyo fikra zao na Uislam uko hivyo.
 
Sheikh Mohamed Said "Mapinduzi Matukufu" yamekuwa kero !.Halafu unakosea sana unapomtaja kiongozi maarufu pasipo kutia cheo au wadhifa wake Field Marshal John Okello.Mimi siwezi kutaja Said Natepe bila kutia wadhifa aliokuwa nao JWTZ Maj Gen Abdallah Said Natepe au Dr Prof Col Kikwete Jakaya.Ikiwa wewe hata kutambua wadhifa wa Field Marshal John Okello inakutia unyonge basi hata mchango wake si rahisi kuutambua.

Ngongo,
Unaharaka ya kuja jamvini kabla hujafanya utafiti wowote.
Utajishusha mbele ya wasomaji.

Nimekuwekea link tatu na laiti ungekuwa na subra kiduchu tu ukazipitia
usingekuja hapa na swali lako la "Field Marshal," kwani swali hili niliulizwa
na Wasiwasi Mwabulambo mtangazaji wa Azam TV na nikatoa jibu.

Ili kukufanya ujifunze kusoma mimi sitakupa jibu hapa.
Rudi maktaba na kwenye zile rejea jibu utalipata.

Nadhani utakumbuka nilisema kuwa Sheikh Hassan bin Amir alikuwa
akiulizwa swali wakati mwingine humwambia muulizaji akasome mwenyewe
atajua.

DSCN0863.JPG

Kulia ni Wasiwasi Bwabulambo wa Azam TV Akinihoji Kuhusu Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar​
 
Ahsante Bibie FaizaFoxy majibu murua kabisa kwahiyo tunakubaliana mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni halal yalistahili kuenziwa kizazi hata kizazi.

Ngoja nikufahamishe Kiislam, haram si kazi yetu ni kazi ya Mwenyeezi Mungu na kisha ainisha kipi haram na kisha sema nimekuhalalishieni vilivyo vyema.

Kuuwa mtu ambae hajahukumiwa kifo ni haram. Kula nguruwe ni haram. Kuzini ni haram. Na mengineyo mengi yaliyo haramishwa, pitia Qur'an utayaona na utajuwa vya haram ni vipi.

Hamna Muislam anaeweza kuharamisha ambacho Mwenyeezi Mungu hajaharamisha na kama hajaharamisha basi hicho ni hilal au kinaweza kuwa makruh. Makruh ni kile amabacho hakijaharamishwa lakini kina kirihisha wengine "karaha".

Uhalali na Uharamu kwetu hauamuliwi na mchungaji.
 
Last edited by a moderator:
Haaa Remote sasa hapa unatafuta ugomvi na Sheikh Mohamed Said buree mimi sipo swali hili kaulizwa kwingi na Mkuu Nguruvi3 tangu mwaka jana kashindwa kulijibu anazunguka zunguka kama pia Dada yake FaizaFoxy kajaribu kumwokoa wapi asiumbuke zaidi.Nina uhakika hawezi kukujibu na akikupatia jibu basi jua si jibu la moja kwa moja litakuwa jibu la kuegesha egesha.

Mimi nimuokoe Alama Mohamed Said kwa maandiko? Unanchekesha, gwiji hilo mmelishndwa leo mwaka wangapi? kila likitia maandiko yake mnajazana kuvuna ilm. Lakini kukiri mnashindwa. Poleni sana.

Hamsadifiki.
 
mzee wangu mapinduzi yalikuwa halal au haram!!?? nisaidie kijana wako naona wajibu usivyoulizwa..
ahsanta
Hatakujibu atazunguka zunguka. Hili swali nimemuuliza takribani miaka 2 hana jibu. Ni swali lililo njia panda, na hataki kulijibu. Kwa vile hawezi kujibu, sijui kama tutakosea tukisema anaeneza fitna.

Kuhusu Havard, cChenge kasoma Havard! ehe!
 
Bibie FaizaFoxy Sheikh Mohamed Said kashindwa kujibu swali jepesi kakimbilia kusema ni mtego haya basi kama ni mtego ufyatue usijemnasi mwingine hataki ananiletea mahojiano yake na Wasiwasi wa Azam tv sijui yameingiaje au yana mahusiano gani na mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyoongozwa kwa umahiri mkubwa na Baba wa taifa la Zanzibar Field Marshal John Okello mgalatia kutoka nchi ya Uganda.

Leo ukapita Zanzibar hakuna mtaa,barabara au jengo la kumbukumbu ya Field Marshal John Okello Baba wa taifa la Zanzibar Sheikh Mohamed Said kashindwa kuonyesha uzalendo wa Field Marshal Okello katika kitabu chake "The life & time of Abdulwahid 1924 - 1968) huku akijua mahusiano ya karibu baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Mimi nimukuoe Alama Mohamed Said kwa maandiko? Unanchekesha, gwiji hilo mmelishndwa leo mwaka wangapi? kila likitia maandiko yake mnajazana kuvuna ilm. Lakini kukiri mnashindwa. Poleni sana.

Hamsadifiki.
 
Bibie FaizaFoxy Sheikh Mohamed Said kashindwa kujibu swali jepesi kakimbilia kusema ni mtego haya basi kama ni mtego ufyatue usijemnasi mwingine hataki ananiletea mahojiano yake na Wasiwasi wa Azam tv sijui yameingiaje au yana mahusiano gani na mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyoongozwa kwa umahiri mkubwa na Baba wa taifa la Zanzibar Field Marshal John Okello mgalatia kutoka nchi ya Uganda.

Leo ukapita Zanzibar hakuna mtaa,barabara au jengo la kumbukumbu ya Field Marshal John Okello Baba wa taifa la Zanzibar Sheikh Mohamed Said kashindwa kuonyesha uzalendo wa Field Marshal Okello katika kitabu chake "The life & time of Abdulwahid 1924 - 1968) huku akijua mahusiano ya karibu baina ya Tanganyika na Zanzibar.

Hapo kawawachia mpira nyinyi. Mtajaza wenyewe.

Umeshawahi kucheza nago wewe?
 
Hapana hapa kaweka mpira kwapani kakimbia kusikojulikana refa kabaki na filimbi yake kaipuliza kuashiria pambano limevunjika timu pinzania imetumia demokrasia yake ya kukacha mpambano baada ya kubaini walinzi wake,viungo wakabaji,viungo washambuliaji na washambuliaji hawana uwezo wa kushinda pambano.

Hapo kawawachia mpira nyinyi. Mtajaza wenyewe.

Umeshawahi kucheza nago wewe?
 
Hapana hapa kaweka mpira kwapani kakimbia kusikojulikana refa kabaki na filimbi yake kaipuliza kuashiria pambano limevunjika timu pinzania imetumia demokrasia yake ya kukacha mpambano baada ya kubaini walinzi wake,viungo wakabaji,viungo washambuliaji na washambuliaji hawana uwezo wa kushinda pambano.

Kama ni hivyo mbona upo uwanjani bado?
 
Remote,
Huenda kweli wewe hutaki kujua zaidi ya ukijuacho kwa hiyo si muhitaji ya
haya.

Juu ya hivyo kaa ukijua kuwa wako wengi sana ambao wangependa kujua
kile ambacho huwezi kukipata kokote isipokuwa kwangu.

Hii Majlis inaingiwa na watu wengi.
Kuna mwingine ndiyo leo hii ananisoma hajapatapo kunijua hata siku moja.

Mimi ninapoandika huwa naikusudia dunia na wasomaji wapya sikukusudii wewe
peke yako.
mzee wangu Dada faiza hapo juu amenifunza juu ya neno haram..
ahsante...
Swali na dukuduku langu bado lipo hapa.. JE YALE MAPINDUZI YA Z'BAR YALIKUWA SAHIHI AU SI SAHIHI!!??
Kwa muono na uchambuzi wako, nisaidie sana.. nakukubali wewe ni mwandishi bobezi na mtafiti.. niwie radhi mzee naomba jibu hata PM ikiwezekana maana hapa umesema unakwepa mtego.
Ahsanta
 
Back
Top Bottom