Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 861
- 1,547
Amen 🙏....Tuko pamojaMungu akubariki, mwaka huu nahitaji ushirikiano mkubwa zaidi kutoka kwenu wote... 🙏🏽
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen 🙏....Tuko pamojaMungu akubariki, mwaka huu nahitaji ushirikiano mkubwa zaidi kutoka kwenu wote... 🙏🏽
Shukrani, naomba ushirikiano wenu daima 🙏🏽Hongera sana dada Dorothea, tunakuombea mema katika majukumu yako
Wanaume wabishi wameongezeka sana, wanapigwa vitasa na wake zao Ila hawatafuti msaada kwa sababu ni wabishi.wanaona kama vile wao siyo watu wa kukutwa na msongo wa mawazo kwa kuwa hiyo ni dalili ya udhaifu na udhaifu ni ishara ya wanawake. SAIKOLOJIA. Hii ndiyo shida.....
Naweza kusema tu kuwa, ufuatiliaji wako kuhusu kazi nafanya nadhani siyo wa Kila siku kwa Kila content. Ndiyo maana kuna kazi zangu zingine hukuzipata. Ingia google andika Dorothy Gwajima Shinyanga, kisha chagua video halafu tafuta video moja ina dakika 3.19 ya tarehe 5 Disemba 2022 kisha uje utoe maoni tafadhali. Shukrani kwa muda wako. Ukiona tatizo kinyume na sheria ukawa huna msaada nitumie sms tuunganishe nguvu kwenye 0765345777 nakala 0734124191, mpe na mwingine, kazi iendeleeMambo ni mengi sana naona kuna vitu umefumbia macho kukemea mnaufyata kwa wafadhili, maisha ni kimya kimya tusubiri kizazi cha mashangazi siku za usoni
Ahsante Sana kwa maoni. Nami niruhusu nielimishe kwamba; ni uelewa tu, kwa kuwa, idara ya watoto inashughulika na watoto wote wa kike na kiume kupitia program ya malezi na makuzi, lakini madawati ya ulinzi wa watoto shule za msingi na Sekondari ni wote, kwenye madawati ya Jinsia na watoto Polisi ni wote, kwenye mabaraza ya watoto ni wote, mabaraza ya Wazee ni jinsia zote, kwenye program ya vijana balehe ni wote. Changamoto Iko kwa watu wazima wanaume ambao wakiwa kwenye migogoro ya mahusiano hawaji kwa aibu zao tu na siyo kwamba hawapokelewi. Mbona mimi nawapokea na nawaunganisha na mifumo? Na wanapata huduma?Hongera sana Dr Gwajima, watoto wa kiume nao ni muhimu sana kuwaweka katika mipango ya serikali, Kwa maana tunaona mmeegemea sana Kwa mtoto wa kike pekee.
HongeraWasaalam.
Nawashukuru watanzania wote kwa ufuatiliaji wa wasilisho la bajeti ya wizara ya jamii 2024/25.
Namshukuru Mungu kwamba, mjadala mkubwa wakati wa uwasilishaji, ni ishara ya elimu kuifikia jamii kwa kina kuhusu kupambana na kutokomeza ukatili wa kijinsia na kudhibiti mmomonyoko wa maadili unaosababisha vitendo mbalimbali viovu.
Kuzinduliwa kwa mpango wa pili wa kutokomeza ukatili huu na mmomonyoko wa maadili kwa ujumla, utaipeleka ajenda hii hadi ngazi ya mtaa, kijiji, kata, halmashauri, vikao vya mabaraza ya madiwani, baraza la madiwani, baraza la maendeleo la wilaya na mkoa kwa kina zaidi. Na hapo ndiyo tutakuwa tumeungana wote kama taifa kwenye vita hivi kupitia ugatuaji madaraka na kuyasogeza karibu na jamii (DxD).
Tuendelee kushirikiana kwa upya kabisa, inawezekana kutunza maadili.
Elimu zaidi kuhusu bajeti yetu, Sera mpya ya jinsia na maendeleo ya wanawake na mpango mkakati wa pili wa MTAKUWWA tuliozindua 15 Mei, 2024: tukutane wiki ijayo Jamii Forums online na Twitter space pia na space zingine. Ratiba inakuja. Kisha kutoka online kwenda halmashauri kwa halmashauri.
Asubuhi njema🙏🏽
View attachment 2992948
Unaweza kuisoma yote hapa: Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka 2024/25
Hongera Mhe. Gwajima.Wasaalam.
Nawashukuru watanzania wote kwa ufuatiliaji wa wasilisho la bajeti ya wizara ya jamii 2024/25.
Namshukuru Mungu kwamba, mjadala mkubwa wakati wa uwasilishaji, ni ishara ya elimu kuifikia jamii kwa kina kuhusu kupambana na kutokomeza ukatili wa kijinsia na kudhibiti mmomonyoko wa maadili unaosababisha vitendo mbalimbali viovu.
Kuzinduliwa kwa mpango wa pili wa kutokomeza ukatili huu na mmomonyoko wa maadili kwa ujumla, utaipeleka ajenda hii hadi ngazi ya mtaa, kijiji, kata, halmashauri, vikao vya mabaraza ya madiwani, baraza la madiwani, baraza la maendeleo la wilaya na mkoa kwa kina zaidi. Na hapo ndiyo tutakuwa tumeungana wote kama taifa kwenye vita hivi kupitia ugatuaji madaraka na kuyasogeza karibu na jamii (DxD).
Tuendelee kushirikiana kwa upya kabisa, inawezekana kutunza maadili.
Elimu zaidi kuhusu bajeti yetu, Sera mpya ya jinsia na maendeleo ya wanawake na mpango mkakati wa pili wa MTAKUWWA tuliozindua 15 Mei, 2024: tukutane wiki ijayo Jamii Forums online na Twitter space pia na space zingine. Ratiba inakuja. Kisha kutoka online kwenda halmashauri kwa halmashauri.
Asubuhi njema🙏🏽
View attachment 2992948
Unaweza kuisoma yote hapa: Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka 2024/25
You are the best da Dr DoriceWasaalam.
Nawashukuru watanzania wote kwa ufuatiliaji wa wasilisho la bajeti ya wizara ya jamii 2024/25.
Namshukuru Mungu kwamba, mjadala mkubwa wakati wa uwasilishaji, ni ishara ya elimu kuifikia jamii kwa kina kuhusu kupambana na kutokomeza ukatili wa kijinsia na kudhibiti mmomonyoko wa maadili unaosababisha vitendo mbalimbali viovu.
Kuzinduliwa kwa mpango wa pili wa kutokomeza ukatili huu na mmomonyoko wa maadili kwa ujumla, utaipeleka ajenda hii hadi ngazi ya mtaa, kijiji, kata, halmashauri, vikao vya mabaraza ya madiwani, baraza la madiwani, baraza la maendeleo la wilaya na mkoa kwa kina zaidi. Na hapo ndiyo tutakuwa tumeungana wote kama taifa kwenye vita hivi kupitia ugatuaji madaraka na kuyasogeza karibu na jamii (DxD).
Tuendelee kushirikiana kwa upya kabisa, inawezekana kutunza maadili.
Elimu zaidi kuhusu bajeti yetu, Sera mpya ya jinsia na maendeleo ya wanawake na mpango mkakati wa pili wa MTAKUWWA tuliozindua 15 Mei, 2024: tukutane wiki ijayo Jamii Forums online na Twitter space pia na space zingine. Ratiba inakuja. Kisha kutoka online kwenda halmashauri kwa halmashauri.
Asubuhi njema🙏🏽
View attachment 2992948
Unaweza kuisoma yote hapa: Bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa mwaka 2024/25
Mhe. Waziri, hauko sahihi katika jambo hili.Ahsante Sana kwa maoni. Wanaume wengi hawajakubali kuwa, binadamu wote Wana udhaifu wakati fulani fulani na udhaifu siyo ulemavu bali inaweza kuwa ni kiwango cha hekima fulani katika kuepusha madhara. Sasa tuna mikakati ya kuelimisha jamii ya wanaume tangu wadogo, vijana na hata watu wazima. Tunashirikiana na vyama vya wanaume pia. Mwaka huu wengi wataijua zaidi hii wizara na tutaenda pamoja.
Hata hivyo, mimi binafsi nimepokea na kuwaunganisha na mifumo ya Dawati la jinsia wanaume wengi tu. Nimeshauri Hadi kuundwa kwa vyama vya wanaume, na Sasa tunavyo. Tunaelekea sasa kwenye Kampeni kubwa ya "male champion, he for she".
Mambo yaja ndugu zangu, wizara ina miaka 2 tu na hata nusu bado.