Ahsante Rais Samia, hatimaye baada ya miaka 7 kazini mwezi huu nimepanda daraja

Ahsante Rais Samia, hatimaye baada ya miaka 7 kazini mwezi huu nimepanda daraja

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Sina Mengi Mungu akubariki Sana mama ambaye umeona na kuthamini mchango wa wafanyakazi nchini.

Wewe uliyeona kuwa wafanyakazi nao ni watu wenye mahitaji, familia na changamoto kama Binadamu wengine.

Tofauti kabisa na mtangulizi ambaye aliamini wafanyakazi ni maroboti na wanatakiwa kufanya Kazi TU bila kuongezewa maslahi yoyote.

Naamini mama atarudi katika kanuni na taratibu za Utumishi wa uma ikiwemo Kutoa nyongeza ya kawaida kila mwaka kwa mujibu wa sheria na kupandisha madaraja KWA wakati.

Hongera mama

Kama vipi uongezewe Muda utake usitake!
 
Sina Mengi Mungu akubariki Sana mama ambaye umeona na kuthamini mchango wa wafanyakazi nchini.

Wewe uliyeona kuwa wafanyakazi nao ni watu wenye mahitaji, familia na changamoto kama Binadamu wengine.

Tofauti kabisa na mtangulizi ambaye aliamini wafanyakazi ni maroboti na wanatakiwa kufanya Kazi TU bila kuongezewa maslahi yoyote.

Naamini mama atarudi katika kanuni na taratibu za Utumishi wa uma ikiwemo Kutoa nyongeza ya kawaida kila mwaka kwa mujibu wa sheria na kupandisha madaraja KWA wakati.

Hongera mama

Kama vipi uongezewe Muda utake usitake!
Wewe sikujui Ila utakua ni mwalimu tuuu !!! Akili za kijinga hivi mnazo nyie!!! Sijui hao watoto watafaulu vipi aisee
 
sasa OLE wake atakaye kula RUSHWA au kufanya UBADHIRIFU wa fedha za umma.
hakutokuwa na huruma wala msamaha na wala rushwa na wabadhirifu.
chapeni kazi kwa uadilifu na kwa weledi.
acheni kupigana majungu na fitina, acheni kusemana semana ovyo, acheni umbeya.
pendaneni acheni kuchukiana.
Fanyeni kazi kwa ushirikiano na upendo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata wanipandishe huo mwezi ujao baada ya kunipotezea mwezi huu, nikiwa na watumishi wenzangu wengi tu!
Bado sina sababu ya kumshukuru!

Kwa sababu kupanda daraja, kuongezewa mshahara, kufanya kazi katika mazingira mazuri, nk hayo yote ni haki yangu kutoka kwa Mwajiri na wala siyo fadhila.
 
Mimi hata wanipandishe huo mwezi ujao baada ya kunipotezea mwezi huu, nikiwa na watumishi wenzangu wengi tu!
Bado sina sababu ya kumshukuru!

Kwa sababu kupanda daraja, kuongezewa mshahara, kufanya kazi katika mazingira mazuri, nk hayo yote ni haki yangu kutoka kwa Mwajiri na wala siyo fadhila.
Tutegemee bei ya vitu kupanda mara dufu

Hii ndo inayofanya increment imezwe

Mfano Tu mwaka Jana maharagwe mbeya mwezi wa tatu wa nne yalikuwa 20,000 lkn mwaka huu hayajashuka 27,000 Kwa debe
 
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji848][emoji2955][emoji2955][emoji52][emoji58][emoji55][emoji57][emoji31][emoji31][emoji25][emoji54][emoji50][emoji26][emoji21][emoji1786][emoji19][emoji19][emoji1786][emoji17][emoji53][emoji854][emoji853][emoji853][emoji37][emoji37][emoji20][emoji45][emoji22][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji46][emoji46][emoji47][emoji32][emoji32][emoji30][emoji30][emoji30][emoji2962][emoji2962][emoji51][emoji27][emoji27][emoji27][emoji15][emoji2957][emoji43][emoji35][emoji33][emoji40][emoji1785][emoji2961][emoji1784][emoji56][emoji2959][emoji2959][emoji2961][emoji855][emoji1783][emoji2958][emoji2960][emoji48][emoji48][emoji48][emoji83][emoji83][emoji83][emoji84][emoji88][emoji88][emoji88][emoji76][emoji76][emoji80][emoji80][emoji80]
 
Sina Mengi Mungu akubariki Sana mama ambaye umeona na kuthamini mchango wa wafanyakazi nchini.

Wewe uliyeona kuwa wafanyakazi nao ni watu wenye mahitaji, familia na changamoto kama Binadamu wengine.

Tofauti kabisa na mtangulizi ambaye aliamini wafanyakazi ni maroboti na wanatakiwa kufanya Kazi TU bila kuongezewa maslahi yoyote.

Naamini mama atarudi katika kanuni na taratibu za Utumishi wa uma ikiwemo Kutoa nyongeza ya kawaida kila mwaka kwa mujibu wa sheria na kupandisha madaraja KWA wakati.

Hongera mama

Kama vipi uongezewe Muda utake usitake!
Mungu ambaRiki Rais Hassan
 
Back
Top Bottom