Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
- Thread starter
-
- #21
Hata mimi sikujui ila kwa comment hii unaonekana una wivu sana na unaweza hata kujinyonga au nasema Uongo?Wewe sikujui Ila utakua ni mwalimu tuuu !!! Akili za kijinga hivi mnazo nyie!!! Sijui hao watoto watafaulu vipi aisee
jiwe aliwasiginia mpini hadharani na hamkufurukuta!Mimi hata wanipandishe huo mwezi ujao baada ya kunipotezea mwezi huu, nikiwa na watumishi wenzangu wengi tu!
Bado sina sababu ya kumshukuru!
Kwa sababu kupanda daraja, kuongezewa mshahara, kufanya kazi katika mazingira mazuri, nk hayo yote ni haki yangu kutoka kwa Mwajiri na wala siyo fadhila.
Mbna umejaa povu? Nini kimekusibu?Wewe sikujui Ila utakua ni mwalimu tuuu !!! Akili za kijinga hivi mnazo nyie!!! Sijui hao watoto watafaulu vipi aisee
Kwan tangu 2016 vitu havijapanda bei?Tutegemee bei ya vitu kupanda mara dufu
Hii ndo inayofanya increment imezwe
Mfano Tu mwaka Jana maharagwe mbeya mwezi wa tatu wa nne yalikuwa 20,000 lkn mwaka huu hayajashuka 27,000 Kwa debe
Piga kutoka TGTSD 716,000 mpaka TGTS E1 940,000 na nyongeza ya 19,000 kwa kila mwakaNaam, haki inaleta tabasamu kwa wana wa nchi. Ni furaha kila kona.
Sure maumivu ni makubwa sana maana unawaza labda kitasaidia kwa namna moja sasa haukipati hata kwa wakati, tuanze kuandikia salary arrearsMimi hata wanipandishe huo mwezi ujao baada ya kunipotezea mwezi huu, nikiwa na watumishi wenzangu wengi tu!
Bado sina sababu ya kumshukuru!
Kwa sababu kupanda daraja, kuongezewa mshahara, kufanya kazi katika mazingira mazuri, nk hayo yote ni haki yangu kutoka kwa Mwajiri na wala siyo fadhila.
Una uhakika hatukufurukuta? Umejiunga lini JF? Ungekuwepo humu kitambo, usingeandika huu ugoro wako.jiwe aliwasiginia mpini hadharani na hamkufurukuta!
kuweni na soni
Wewe sikujui Ila utakua ni mwalimu tuuu !!! Akili za kijinga hivi mnazo nyie!!! Sijui hao watoto watafaulu vipi aisee
Sina Mengi Mungu akubariki Sana mama ambaye umeona na kuthamini mchango wa wafanyakazi nchini.
Wewe uliyeona kuwa wafanyakazi nao ni watu wenye mahitaji, familia na changamoto kama Binadamu wengine.
Tofauti kabisa na mtangulizi ambaye aliamini wafanyakazi ni maroboti na wanatakiwa kufanya Kazi TU bila kuongezewa maslahi yoyote.
Naamini mama atarudi katika kanuni na taratibu za Utumishi wa uma ikiwemo Kutoa nyongeza ya kawaida kila mwaka kwa mujibu wa sheria na kupandisha madaraja KWA wakati.
Hongera mama
Kama vipi uongezewe Muda utake usitake!
Anashukuru kupitakiasi bila kujua hiyo n haki yake!!! Pia waliopanda possibly it us 40% wengi ni vilioAmekukosea nini hadi useme ana akili za Kijinga?. Kibaya kipi alichokiandika?
Mimi hata wanipandishe huo mwezi ujao baada ya kunipotezea mwezi huu, nikiwa na watumishi wenzangu wengi tu!
Bado sina sababu ya kumshukuru!
Kwa sababu kupanda daraja, kuongezewa mshahara, kufanya kazi katika mazingira mazuri, nk hayo yote ni haki yangu kutoka kwa Mwajiri na wala siyo fadhila.
Amekukosea nini mtoa mada?Mbona uko na roho mbaya sana dada.Wewe sikujui Ila utakua ni mwalimu tuuu !!! Akili za kijinga hivi mnazo nyie!!! Sijui hao watoto watafaulu vipi aisee
dogo mimi ni mkongwe JF mpaka mitaaniUna uhakika hatukufurukuta? Umejiunga lini JF? Ungekuwepo humu kitambo, usingeandika huu ugoro wako.
Kwa taarifa yako tulimpa makavu live humu mara zote alipotoa kauli zake zenye utata! Na hata huyu mama kama hatatenda haki, bado tutamkosoa tu. Na huu ndiyo uhuru halisi wa kuongea.
toto limeifahamu jf 2019Una uhakika hatukufurukuta? Umejiunga lini JF? Ungekuwepo humu kitambo, usingeandika huu ugoro wako.
Kwa taarifa yako tulimpa makavu live humu mara zote alipotoa kauli zake zenye utata! Na hata huyu mama kama hatatenda haki, bado tutamkosoa tu. Na huu ndiyo uhuru halisi wa kuongea.
Wabongo kushukuru ni utamaduni tu.Anashukuru kupitakiasi bila kujua hiyo n haki yake!!! Pia waliopanda possibly it us 40% wengi ni vilio
Una akili fupi sana wewe! Uliza nimekuwepo JF tangu lini na nimetumia ID ngapi kabla ya hii! halafu nitakuambia.toto limeifahamu jf 2019
aseee ama kweli hii ni heshima ya kambare
baba ndevu mama ndevu
naijua hii, weka id yako tofauti na hii nioneUna akili fupi sana wewe! Uliza nimekuwepo JF tangu lini na nimetumia ID ngapi kabla ya hii! halafu nitakuambia.