Ahsante sana mzalendo aliyevujisha mkataba wa Dp World, Mungu akulinde, na akuzidishie maisha marefu kwa zawadi uliyotoa kwa mama Tanganyika.

Ahsante sana mzalendo aliyevujisha mkataba wa Dp World, Mungu akulinde, na akuzidishie maisha marefu kwa zawadi uliyotoa kwa mama Tanganyika.

Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Tunaomba mwenye hii mikataba atuwekee hapa
 

Attachments

  • 9F135B4A-30A5-4DB9-95D6-4C495DDEEA6E.jpeg
    9F135B4A-30A5-4DB9-95D6-4C495DDEEA6E.jpeg
    66.2 KB · Views: 4
  • IMG_0804.MP4
    5.4 MB
  • C69561CD-611A-4954-9FC4-C38FC31C2DD0.jpeg
    C69561CD-611A-4954-9FC4-C38FC31C2DD0.jpeg
    140.9 KB · Views: 3
Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Regardless na point uliyo toa ila wacha nikupe MAUA YAKO KWA MWANDIKO MZURI ULIYO PANGWA NA KUPANGIKA mengine watasema wadau
 
Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Aaaaameni
 
Kama ni Me, aandae kabisa pu.mbu zake, zitaminywa hadi ashangae, kama ni Ke, nadhani chuchu zake zitakuwa flat...
..baada ya kusema hayo, nampa maua yake!!
 
Kama ni Me, aandae kabisa pu.mbu zake, zitaminywa hadi ashangae, kama ni Ke, nadhani chuchu zake zitakuwa flat...
..baada ya kusema hayo, nampa maua yake!!
Mkuu huyo alievujisha sio rahisi kukamatwa shida itakuja kwa mtu mwingine. Mfano huyo aliekuwa na hio documents anaweza kuonba simu akaituma kwako kwa Bluetooth then anaipandisha mtandaoni alafu anafuta na kukurudishia simu yako then anasepa zake
 
Mkuu huyo alievujisha sio rahisi kukamatwa shida itakuja kwa mtu mwingine. Mfano huyo aliekuwa na hio documents anaweza kuonba simu akaituma kwako kwa Bluetooth then anaipandisha mtandaoni alafu anafuta na kukurudishia simu yako then anasepa zake
Ooh kwa hiyo alijipanga kabisa sio? Basi atakayekamatika nampa pole yake!!
 
Ndo hivyo mkuu unaweza kuta hata ni ww hapo simu yako imetumika bila kujua ila yote tisa kumu tunamshukuru maana kamaliza utata kila mtu asome achambue kipi ni kipi FaizaFoxy mwenyewe kashatuwekea hapa kwa lugha yetu ya kiswahili
mbavu zangu mie, nazani watakua wanaangalia kamera zote tangu watu walipotoka dubai nani aliingia chumba cha maangamizi, lakini mwamba sijui alikuwa. maana documenti kama ile ni nyara ya taifa ukikutwa nayo lazima uoge zote, lakini mwamba kawapa watanganyika wote wasome
 
Kama ni Me, aandae kabisa pu.mbu zake, zitaminywa hadi ashangae, kama ni Ke, nadhani chuchu zake zitakuwa flat...
..baada ya kusema hayo, nampa maua yak
hahahahaa
Hamna alievujisha,Mama kasema mikataba iwe waziristan tu.
hahahaha haya, na akili yako ni mkataba wa kuweka hadharani ule, ? kweli tunatofautiana utashi
 
Kama huko mjini kupata mkataba wa serikali ni mpaka uvuje, sisi huku kijiji cha mpiga miti hali ikoje? Ikiwa serikali ina utaratibu wa kuingia mikataba ya siri, watanzania watakaa kwa hali ya mashaka maana hawajui ni lini watapigwa mnada.​
 
Wiki ya pili na tunaelekea wiki ya tatu saasa , masikio, macho na mioyo ya wana wa tanganyika yamegoma kuelewa, kupokea, au kusikia nyimbo, mapambio na kelele, maelekezo juu ya uwekezaji tata ulioambatana na mkataba tata wa DP world na mama JMT juu ya bandari za Tanganyika pekee zenye muundo muungano wa TAnzania bara na Tanzania visiwani.

swali kubwa sasa tunafanyaje sasa wakati mfalme kasha saini? na Bunge lao la JMT limesharidhia,? je tunazimaje kelele za watu nje? wapo wanaosema tuwaache huu ni upepo tu utapita, wapo wanaowaza funika kombe mwanaharamu apite, sisi tunendee kutekeleza jambo letu, wapo wanaosema, lakini upande wa pili pia wapo wanaosema, hatutanyamaza kamwe mpaka mpaka kieleweke,?​

lakini nani shujaa?
kwangu mimi, nimpongeze mtanganyika mwenzetu popote alipo apokee maua yake kwa kutoa zawadi kubwa kwa watanganyika wenzake, maana watawala na wataliwa wote wamezama kwenye mdahalo ambao chanzo chake hakijulikani, na hakuna hata aliyepinga kuwa mkataba huu ni fake, na wote tunarejea (nukuu zetu) ni kwenye mkataba huo huo. ni ishara wazi kuwa ndani ya serikali tuna wenzetu ambao ni wazalendo na hawapendi kuona ujinga ukitendeka, na ndio maana wamekuwa tayari kujitoa na kuonyesha wenzao nini kinaendelea katika nchi yao, kwa hiyo ni kazi yao na si yake tena.​

napongeza sana juhudi za mwenzetu, na Mungu ampe maisha marefu, yeye na vizazi vyake vyote.

Mungu ibariki Tanganyika na watu wake wote.
Mkataba haujavuja wala kuvujushwa.

Mkataba ukishafika bungeni ukajadiliwa na bunge lote basi huo umeshakuwa public.

Wabunge wanawakilisha wananchi.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Back
Top Bottom