Ahukumiwa miaka 20 jela kwa kumiliki fisi kinyume cha sheria

Ahukumiwa miaka 20 jela kwa kumiliki fisi kinyume cha sheria

Mnyama pori anatakiwa aishi kipori pori kumfuga kiholela bila sababu ya msingi haifai.
Upo sahihi lakini adhabu inayotolewa haiendani na kosa ni kukomoana. Unamkumbuka mama wa Iringa aliyehukumiwa miaka 20 kisa kakutwa na nyama swala?
 
Huyo atakua alimtapeli mteja wake kwa uganga wa uongo uongo, mteja kadai hela na kuku wake mganga kamtishia kumtoa kafara, mteja uchawi haujui akaona awahi kwenye mamlaka ya serikali kama mbwai na iwe mbwai; mtu anakula mvua 20 kama masikhara vile; mbwa kala kubwa...Nimewaza tu! Lakini, mganga kwanini hakujigeuze hata nyau wakati wanakuja kumkamata?! 😕
 
Kwa nini hawakuweka fine kwa kiswahili kama walivyoanza kwenye majina ya wanyama?

Mswahili ni mtu mwenye tamaa sana aseee!!!
Fine inalipwa kwa kutumia sarafu ya Dollar. Hii ni kuhakikisha kwamba siku zote pesa za madafu zitakuwa zinapanda kwani mara nyingi shilingi hushuka thamani yake dhidi ya Dollar. Hapo ndo tamaa inaingia.!!
 
Upo sahihi lakini adhabu inayotolewa haiendani na kosa ni kukomoana. Unamkumbuka mama wa Iringa aliyehukumiwa miaka 20 kisa kakutwa na nyama swala?
Yeah. Ni kweli kabisa Adhabu haiendani na kosa kwani fisi alikuwa mzima buheri wa afya kitu kinachoashiria alitunzwa vizuri. Hata hivyo jamaa wa Game mara nyingi sio poa. Kwa nini haikuwa Fine??
 
Huyo atakua alimtapeli mteja wake kwa uganga wa uongo uongo, mteja kadai hela na kuku wake mganga kamtishia kumtoa kafara, mteja uchawi haujui akaona awahi kwenye mamlaka ya serikali kama mbwai na iwe mbwai; mtu anakula mvua 20 kama masikhara vile; mbwa kala kubwa...Nimewaza tu! Lakini, mganga kwanini hakujigeuze hata nyau wakati wanakuja kumkamata?! 😕
Subiri Jopo shirikishi la waganga wamalize kikao chao cha dharura halafu tuone watatoka na azimio gani. Hapo patachimbika mwanawane.
 
Subiri Jopo shirikishi la waganga wamalize kikao chao cha dharura halafu tuone watatoka na azimio gani. Hapo patachimbika mwanawane.
Itakua balaa tupu huko hela, picha linaanza mfungwa anageuka fisi ambae serikali walisema ni nyara ya taifa!
 
Huyu atakuwa alimtapeli mteja wake kuwa atapona hakupona
Nasema hivyo mbona sisi kwetu huyu mnyama tunacheza naye ngoma na familia zetu tunamfuga kama paka tu na ni sehemu ya familia na anawajua hata wana familia kwa majina.
Ila wangempiga fine ndog tu maana fisi kiuhalisia ni mnyama anayedharauliwa sijawahi sikia nchi yeyote duniani nembo ya mnyama ikawa fisi.
Tanzania ni twiga,Kenya Simba,Uganda crane,Zambia kiboko,Marekani eagle
 
Itakua balaa tupu huko hela, picha linaanza mfungwa anageuka fisi ambae serikali walisema ni nyara ya taifa!
Aisee; huwa mwanzoni inaonekanaga kama utani fulani hiv; lakini kiukweli katika uhalisia wake inakuwa inakuwa ni mtafutano tena kimya kimya: aliyelianzisha, aliyelipokea na kulitekeleza (hapo ni Bwana Game Officer sio Hakimu) na mwisho ni aliyetoa hukumu ya kumkomoa. Woote hao lazima kinuke.
 
Kanda ya ziwa ndio boda boda zao za asili
Halafu anakuja mtu kukupora kwa nguvu usafiri wako adimu kisha anakusondeka ndani miaka 20 na viboko juu. Hii haikubaliki.
Hiiiii; ngoosha; Lazma mtu aumie.
 
Halafu anakuja mtu kukupora kwa nguvu usafiri wako adimu kisha anakusondeka ndani miaka 20 na viboko juu. Hii haikubaliki.
Hiiiii; ngoosha; Lazma mtu aumie.
Ila hizo bodoboda ukiziachia zinatafuna watu
 
Ila hozi bodoboda ukiziachia zinatafuna watu
Mbona hatujasikia kuna mtu aliyetafunwa? Usiku ni kwa wale wenye kazi zao e.g. Doria(askari/sungusungu) na wale wachache wenye "kazi maalum" na wanafahamiana na kuheshimiana sana. Lakini wewe "mtu nakadhalika" unajitoa ufahamu na unatembeaje usiku wa manane bila "ulinzi" wako binafsi? Ukitafunwa utakuwa umejitakia mwenyewe. Pumzika nyumbani na familia yako na uwaache wahusika waendelee na kazi zao bila bughudha,
 
Mbona hatujasikia kuna mtu aliyetafunwa? Usiku ni kwa wale wenye kazi zao e.g. Doria(askari/sungusungu) na wale wachache wenye "kazi maalum" na wanafahamiana na kuheshimiana sana. Lakini wewe "mtu nakadhalika" unajitoa ufahamu na unatembeaje usiku wa manane bila "ulinzi" wako binafsi? Ukitafunwa utakuwa umejitakia mwenyewe. Pumzika nyumbani na familia yako na uwaache wahusika waendelee na kazi zao bila bughudha,
Simiyu kwani hipo congo ukiskia habari za huko
 
Halafu twiga walikuwa wanapanda hadi ndege wanaondoka nje ya nchi
Fisi hawa hawa kweli hata kulika hawaliki ndo nyundo 20
Tofauti twigwa walikuwa wanaondoka kwa sheria, na baraka kutoka juu.

Twiga huyo huyo kamchukue kimagumashi
 
Back
Top Bottom