Ahukumiwa miaka 20 jela kwa kumiliki fisi kinyume cha sheria

Ahukumiwa miaka 20 jela kwa kumiliki fisi kinyume cha sheria

Halafu twiga walikuwa wanapanda hadi ndege wanaondoka nje ya nchi
Fisi hawa hawa kweli hata kulika hawaliki ndo nyundo 20
Na akati mwenzao alikuwa anawasaidia kufuga maliasili
 
Ni uonevu, miaka 20 umri wa mtu.
Acha ale chuma hicho, jamii ya watu wa Simiyu wamezidi, mwezi hauishi mtu hajaliwa na fisi, ukijiuliza kuna watu wanaishi na wanyama lakini husikii matukio kama hayo mf serengeti kuna jamii imezungukwa na kila aina za wanyama wakiwemo simba ila hawaliwi, ila wasukuma wanaua watu kwa njia za kichawi wakisingizia fisi
 
Fisi wanamilikiwa na watu sana inafikia wanawazuru wananchi kama watoto mpaka kuleta kifo
Aaah! Mbona hiyo rahisi sana. CHUKUA TAHADHARI MAPEMA kabla ya HATARI. Kumbuka ulinzi wa mtu na mali zake unaanza na Mtu mwenyewe binafsi.
 
Tofauti twigwa walikuwa wanaondoka kwa sheria, na baraka kutoka juu.

Twiga huyo huyo kamchukue kimagumashi
Twiga huyo huyo kamchukue kimagumashi - Hakuna rangi utaacha kuona i.e. 20yrs+ 12 Strong Strokes on ur buttocks.
 
Back
Top Bottom