Sijamtetea. Nimeshauri swala hili lichunguzwe kwa umakini maana huwenda Ni kweli na pia Kusingiziwa kupoSiku akiwa ni mwanao utatusimulia tena hizi hadithi za bulicheka na kumtetea mlawiti wa mwanao,
Sijui hua mnajisikiaje kutetea wahalifu
Mkuu nia yetu ni kushauri Uchunguzi ufanyike kwa kina maana lolote linawezekanaInahusiana nini na habari hii?
Au kama kawaida mnateteana kwenye ushenzi
Fanya due diligenceSijamtetea. Nimeshauri swala hili lichunguzwe kwa umakini maana huwenda Ni kweli na pia Kusingiziwa kupo
Mkuu nia yetu ni kushauri Uchunguzi ufanyike kwa kina maana lolote linawezekanaInahusiana nini na habari hii?
Au kama kawaida mnateteana kwenye ushenzi
Dream QueenMiaka 14 unatishwa na ushabalehe kuna ulakini hapo
💯Miaka 14 unatishwa na ushabalehe kuna ulakini hapo
Ndiyo Maana Mimi na Restless Hustler tunawaza huwenda Ni mchongo huuYaani wazazi hawamuoni mtoto kwa miezi na hawajaripoti polisi? Au Mimi sijaelewa!
Aisee kuna watu wana roho mbaya sanaNakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu
Mm nakumbuka nikiwa age hiyo niko sekondary najitambua ata nilipo balehe nilisema na shule mnafundishwa kwa huyo mtoto kuna ulakin
Watoto wa kichaga wanalawitiwa sana, sijui kwa nini? Kuna nini huko Kilimanjaro???Masai kalawiti mchaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] laana hizi jamn
Wapemba mmevamia ukoWatoto wa kichaga wanalawitiwa sana, sijui kwa nini? Kuna nini huko Kilimanjaro???
Mimi nilianza kutafuta hela nikiwa na miaka 13Mm nakumbuka nikiwa age hiyo niko sekondary najitambua ata nilipo balehe nilisema na shule mnafundishwa kwa huyo mtoto kuna ulakin
Huo mchezo upo sana .Nakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu