Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano

Aiba mtoto wa bosi wake, adaiwa kumlawiti kwa miezi mitano

Nakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu
Binadamu hawana huruma,ila jasho la ntu halipotei bure,kizazi mpaka kizazi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Sijamtetea. Nimeshauri swala hili lichunguzwe kwa umakini maana huwenda Ni kweli na pia Kusingiziwa kupo
Kwanini uhisi kusingiziwa, una story nyingine uliyonayo tofauti na hii aliyosema Mtoto, Mtendaji, Baba Mtoto na Baba mdogo wa Mtoto?
 
Nakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu
Hizi ndizo Tabia za wachaga typical kabisa. Yaani Kuna mmama mmoja Ni wazee wa Baraza la mahakama ,anakuambia anaakaa na kijana mchaga huyo hata miaka mitano, baadaye anasingiziwa akaiba, kijana anakimbia ama kufungwa anabakiza hela zote kwa boss.

Yaani nenda mahakama za Moshi vijana wanapewa mashtaka fake wanazimwa pesa . Mchagaa elewa sio damu ya tanzania yaani wote tunafanana usipokuwa tu mchaga hata wao wakiwa wanataka utu wanaenda kwa vyasaka Ila kwao hawaendi watakejeliwa na kudhihakiwa.

Huyu inaonekana Kama alimkomoa dogo huyo,Hakuna Cha wizi Wala ama kukimbia na dogo Basi Kuna namna wamefanyiana sema mangi akazidiwa kete na mmasai so anatafuta revenge kwa nguvu zote hata kumuua
 
Nakuelewa Sana mkuu.
Kuna mdogo wangu alienda Moshi kufanya kibarua Cha kuchunga ng'ombe wa kisasa. Boss wake alimdanganya kuwa amtunzie mshahara wake ili mwisho wa siku afanyie kitu Cha maana. Baada ya miaka sita ya kutunziwa mshahara, dogo akadai chake ili akaanze maisha mapya. Ghafla boss akamuitia polisi kwa tuhuma za kuiba milioni tano dukani, akaenda kufinywa kituoni na kuambiwa achague moja kati ya kwenda jela na kurudi kwao, dogo akarudi kwao. 6 years of sweating with no coins! Haya Mambo yasikie tu
Nisingekaa nikasahau na siku moja hata ingepita miaka 10 ningetia kiberiti nyumba yao na mifugo yao wafe wote kumbaf.
 
So sad! Inakuwaje lakini jamani mtu unamuajiri mtunza mifugo wakati hujui background yake wala atokako, miezi 5 yote walishindwa kufika kwao kupata ukweli inamaana walikuwa hata hawafahamu mtuhumiwa anatokea wapi. Tuchunguze kwa kina asili ya wale tunaowapa dhamana katika familia zetu
People change ndugu....
 
Kwa kawaida mtu hawezi kuuza mbuzi 35 mnadani kwa mkupuo mmoja Tena bila risiti za malipo ya ushuru.

Huu Mchezo wa kusingiziana kesi za ulawiti umekithiri. Kuna Ndugu yangu alikuwa anapenda kucheza na Mtoto wa mpangaji mwenzake. Siku ya siku akaja kukamatwa na polisi kwa tuhuma za ulawiti wa huyo Mtoto na akababanishwa hadi akalipa 2.5m ili asifungwe. Lakini hadi leo anadai kuwa hajui chechote kuhusu tukio lile. Angewadanganya wote lakini Asingeweza kunificha mimi


“Angewadanganya wote lakini Asingeweza kunificha mimi”

Kwa sababu wewe ni Mungu kwake ama niaje?










Kuuza mbuzi 35 kwa mkupuo ni rahisi kwa mtu alieweka mipango na kusuka ramani muda mrefu ukizingatia yeye ndio mchungaji kwahiyo lazima alikua anajuana na wachungaji wengine na wauzaji pia.

Huyo aliekua anafungiwa ndani alikua anazibwa na mdomo na kufungwa mikono na miguu?

Maana sioni sababu kwanini hakujiokoa kwa kupiga kelele kuita majirani ama kujaribu kuvunja mlango ama dirisha? Tena kijana wa miaka 14, ni mtoto yes lakini mwenye utambuzi wa mazingira na means of survival lazima anazijua tayari.


Miezi mitano unalawitiwa kirahisi tu?!

Na hao wazazi kijana anapotea miezi 5 taarifa zilifika polisi? Juhudi zao za kumtafuta mtoto wao kwa miezi yote mitano ni zipi?

Upishi unaweza kuwepo hapa.
 
Inahusiana nini na habari hii?
Au kama kawaida mnateteana kwenye ushenzi

Mbona sijaona ametetea vipi ushenzi?


Mfano wake aliotoa ni mzuri maana unakutoa nje ya box na kukufanya uwaze kwa mapana.

Kwenye dhulma binaadam hugeuka hayawani.

Mlawiti na mwizi wa mshahara wa mfanyakazi wale wote ni watendaji wa dhulma.
 
So sad! Inakuwaje lakini jamani mtu unamuajiri mtunza mifugo wakati hujui background yake wala atokako, miezi 5 yote walishindwa kufika kwao kupata ukweli inamaana walikuwa hata hawafahamu mtuhumiwa anatokea wapi. Tuchunguze kwa kina asili ya wale tunaowapa dhamana katika familia zetu
Hii story ina ukakasi: Mtoto apotee zaidi ya miezi sita no Police report??
Mbuzi 35 wanaibiwa na kuuzwa no Police case??
Huenda Dogo ajalipwa pesa yake kama mchungaji wanamtengenezea zengwe wasimlipe
 
Back
Top Bottom