Aibu: Anayetafsiri Uwanja wa Jamhuri kamati hakujiandaa

Aibu: Anayetafsiri Uwanja wa Jamhuri kamati hakujiandaa

NewGapi

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2020
Posts
313
Reaction score
960
Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
  • Anaachwa mara kadhaa nyuma,
  • Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
  • Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
 
Wewe mwenyewe umeshindwa kuandika Na uko peke yako huna presha halafu unamcheka mwenzako ambae anatafsiri mbele ya umati Wa watu kama ule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye mazishi ya Mandela, alikuwapo huyu jamaa aliyezingua kinoma kutafsiri lugha ya viziwi. Baadaye alipohojiwa alijitetea kuwa katikati ya event alipatwa na ugonjwa wa schizophrenia, ambapo alikuwa anaona malaika wanakuja kutoka angani

1616411315504.png
 
Wafalme wa kulaumu kulaumu Kila kitu, mkalimani anajitahidi hongera kwake ni wazi hakupewa hotuba hizi...mkalimani Yuko makini kwa kuzingatia Hali halisi wewe na wenzio ni wafalme wa kulaumu Kila kitu...
 
Kikubwa sisi tunaelewana maana aliyekufa ni Rais wetu sisi wa Tz.... Kwaiyo tunaelewa nini kinaendelea!!!!

Wewe unafikiri hizo lugha ni mchezo! kumbuka hapo mtu ana majonzi ya msiba sisi tumuelewe uyo Rais wa south ili kiwe nini?

Tumpuzishe mpedwa wetu tuache na kejeli wakuu, we unaejua icho kingereza hata hapo Uingereza ukute hujaenda
 
Back
Top Bottom