Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Mkuu yule Rais aliesema Magufuli alikua collegue wake alimaanisha madaftari waliyabeba pamoja kwenye safari yao ya elimu au manake mfasiri hakusemaKwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafuasiri hana huo uwezo...