The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Sema kuwa Inawezekana Siyo mtaalamu wa hiyo kazi.Wafalme wa kulaumu....kulaumu Kila kitu..mkalimani anajitahidi hongera kwake...ni wazi hakupewa hotuba hizi...mkalimani Yuko makini kwa kuzingatia Hali halisi ...wewe na wenzio ni wafalme wa kulaumu Kila kitu...