Aibu: Anayetafsiri Uwanja wa Jamhuri kamati hakujiandaa

Aibu: Anayetafsiri Uwanja wa Jamhuri kamati hakujiandaa

Wafalme wa kulaumu....kulaumu Kila kitu..mkalimani anajitahidi hongera kwake...ni wazi hakupewa hotuba hizi...mkalimani Yuko makini kwa kuzingatia Hali halisi ...wewe na wenzio ni wafalme wa kulaumu Kila kitu...
Sema kuwa Inawezekana Siyo mtaalamu wa hiyo kazi.
 
Lugha siyo mathematics, it doesn't obey any rules.... Labda wewe ndiyo hujui maana ya kutafsiri.
 
Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafuasiri hana huo uwezo....
Kumbe kuna wengine mliona eeee !!
 
Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
  • Anaachwa mara kadhaa nyuma,
  • Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
  • Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
mazishi ya kitaifa ndo nini?×
Shughuli ya Kitaifa ya kumuaga Hayati John Magufuli
 
Ila nyie kwa kulaumu hamjambo..
Mnataka watafsir Word to word au watafsir Context

Kudadadeki, hapo vipi kwenye mambo ya context ?!
 
Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
  • Anaachwa mara kadhaa nyuma,
  • Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
  • Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
Ni type ya akina Kabudi hii
 
Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
  • Anaachwa mara kadhaa nyuma,
  • Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
  • Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
Tumsamehe kwakuwa si lugha yake mama hiyo ipo tu saaana tu hasa kwa beberu na wala hajali akikosea
 
Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
  • Anaachwa mara kadhaa nyuma,
  • Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
  • Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
Kwa sisi wa seint kayumba tunamshukuru kwa kutusaidia kuelewa kilichozungumzwa na wagen
 
1616431874787.png
 
22 March 2021
Dodoma, Tanzania

Mkalimani ameingia ganzi kumnukuu rais Ramaphosa "Magufuli hakupenda kusafiri kusafiri ...labda alikuwa anaogopa kusafiri kwa ndege lakini kumbe Magufuli alikuwa ameamua..."

President Ramaphosa: When he came to South Africa he brought me a box full of Swahili




Source: ktn news Kenya
 
Lugha siyo mathematics, it doesn't obey any rules.... Labda wewe ndiyo hujui maana ya kutafsiri.
Mkuu ni ujinga kutetea kila kitu. kama huwezi kuwa mkweli ni vyema kupiga kimya tu. Hizo rules zinasema tafsiri inaweza kupotosha kinachozungumzwa?

Umetupia kidogo english bila shaka unaijuajua. Kosa hapa sio kugeuza maneneo bali ni kuleta ujumbe tofauti na uliotolewa.
 
Back
Top Bottom