The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Sema kuwa Inawezekana Siyo mtaalamu wa hiyo kazi.Wafalme wa kulaumu....kulaumu Kila kitu..mkalimani anajitahidi hongera kwake...ni wazi hakupewa hotuba hizi...mkalimani Yuko makini kwa kuzingatia Hali halisi ...wewe na wenzio ni wafalme wa kulaumu Kila kitu...
Wewe ni kilaza siyo TAFUARIRI bali ni TAFSIRIKwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafuasiri hana huo uwezo...
Kumbe kuna wengine mliona eeee !!Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafuasiri hana huo uwezo....
Kaboronga sana yaani !Lugha siyo mathematics, it doesn't obey any rules.... Labda wewe ndiyo hujui maana ya kutafsiri.
Hakunà jamaa yuko sahii. Anachopaswa kutafsiri ni context siyo neno.. Text ndiyo anaijustify vingine vinashildKaboronga sana yaani !
mazishi ya kitaifa ndo nini?×Kwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
- Anaachwa mara kadhaa nyuma,
- Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
- Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Alisemaje mkuu, mwanaume wa kwanza au?😀😀😀Kashindwa kutafsiri hata first Gentleman loh
Mtaalamu ni wewe...sawa?Sema kuwa Inawezekana Siyo mtaalamu wa hiyo kazi.
Ila nyie kwa kulaumu hamjambo..
Mnataka watafsir Word to word au watafsir Context
Ni type ya akina Kabudi hiiKwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
- Anaachwa mara kadhaa nyuma,
- Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
- Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
TeteteteKilio chako kimesikika! Huyu wa pili naona 'anatafuasiri' vizuri kwa mtazamo wa wengi!! Umefurahi sasa ndugu mtoa mada? 😇
Huyu naye vipi?? Sasa ndio wanasema kila kitu kiwe kwenye kiswahili....!!!View attachment 1731832
Kudadadeki, hapo vipi kwenye mambo ya context ?!
Tumsamehe kwakuwa si lugha yake mama hiyo ipo tu saaana tu hasa kwa beberu na wala hajali akikoseaKwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
- Anaachwa mara kadhaa nyuma,
- Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
- Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Kwa sisi wa seint kayumba tunamshukuru kwa kutusaidia kuelewa kilichozungumzwa na wagenKwa tunaofuatilia matangazo ya mazishi ya kitaifa ya Hayati JPM kutoka uwanja wa Jamhuri dodoma, watakubaliana namimi kuwa aliyeandaliwa kutoa tafsiri hana huo uwezo.
Kamati isijirudie tena kwenye matukio ya kitaifa kama hilo.
- Anaachwa mara kadhaa nyuma,
- Anatoa tafuasiri zisizo sahihi.
- Anaongea uelewa wake badala ya kutafuasiri.
Mkuu ni ujinga kutetea kila kitu. kama huwezi kuwa mkweli ni vyema kupiga kimya tu. Hizo rules zinasema tafsiri inaweza kupotosha kinachozungumzwa?Lugha siyo mathematics, it doesn't obey any rules.... Labda wewe ndiyo hujui maana ya kutafsiri.