technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hi ni aibu ya mwaka
Chama kimokosa mvuto tukiwaambia mnabisha hiki chama bila wasanii haki ya Mungu hakipati watu.
Mwaka huu patachimbia watu mjiandae kukabidhi Ikulu.
Lissu yupo vijijini anapokelewa na watu kibao ila CCM inakosa watu Bukoba Mjini?
Laana ya Tetemeko itawatafuna mwaka huu.
Chama kimokosa mvuto tukiwaambia mnabisha hiki chama bila wasanii haki ya Mungu hakipati watu.
Mwaka huu patachimbia watu mjiandae kukabidhi Ikulu.
Lissu yupo vijijini anapokelewa na watu kibao ila CCM inakosa watu Bukoba Mjini?
Laana ya Tetemeko itawatafuna mwaka huu.