Uchaguzi 2020 Aibu: CCM yafutika Bukoba, wanafunzi wapangwa barabarani muda wa masomo kumpokea

Uchaguzi 2020 Aibu: CCM yafutika Bukoba, wanafunzi wapangwa barabarani muda wa masomo kumpokea

Ni kosa kuwaachisha watoto masomo na kuwapanga barabarani kufanya siasa, wana Kagera na watanzania wote tukatae jambo hili.
Hi ni aibu ya mwaka

Chama kimokosa mvuto tukiwaambia mnabisha hiki chama bila wasanii haki ya Mungu hakipati watu.

Mwaka huu patachimbia watu mjiandae kukabidhi Ikulu.

Lissu yupo vijijini anapokelewa na watu kibao ila CCM inakosa watu bukoba mjini?

Laana ya Tetemeko itawatafuna mwaka huu.

View attachment 1570594View attachment 1570595View attachment 1570596
Ngoja wamsalimie rais wao bhana
Wanafunzi ni wafaidika wa sera nzuri za ccm kuhusu elimu. 2015-2020 jumla trillioni 1.09 zimetolewa kughalimia elimu bure, ccm hoyeee
watoto wa wakulima walio darasa la kwanza hadi la tano ni wafaidika wa sera ya ccm ya elimu bure, wanafunzi walio form V ni wafaidika, wanafunzi walio form I- IV ni wafaidika wa elimu bure. kwa nini watoto hawa wasijipange barabarani japo kwa siku moja kuonyesha SALUTE kwa PAYMASTER wa nchi????
Nyuma ya hao watoto kuna wazazi wao na walimu wao...ila usisahau hao ndio wapiga kura wa kesho!
Usitegemee sana nguvu ya Amsterdam, wekeza kwenye kizazi cha kesho!
Hadi kufikia 2020 nataka niwe nimefuta upinzani ~Jiwe.

Matokeo yake kajifuta mwenyew kwa kauli za kifedhuli akifikiri yeye ndo kila kitu nchi hii.
Lakini mkuu usiwe biased mbona tumefuatilia kwenye TV,watu wazima wamejitokeza kwa wingi sana ?Tena katika vitongojo mbali mbali along side ya barabara?
Nikupe neno mkuu acha kutia chumvi haikusadii wala haimsaidii Lissu. Unajipotosha wewe mwenyewe.
Hao watoto wameenda hapo kwa kupenda kwao?
 
We zomea hao ni wapiga kura wakesho na wengeni ni waleo (vijana wa High School)
 
CHADEMA mkiambiwa CCM wamejipanga ni wamejipanga kweli...kwa staili mnayoenda nayo mtalamba zero
 
Ah ah kipendwa kwa kushurtishwa ndio unampa hongera??

Lol wewe ndo walr wanaotoa ongera ovyo ovyo
Ndio acha wapangwe tu kwani Kuna kosa gani mtoto kumupokea baba ake akiwasili kutoka mahali Fulani.

Hongera Sana wanafunzi kwa kujitokeza kwa wingi kumulaki baba yenu Magufuli anae hakikisha mnapata mahitaji yenu ya elimu Bora chini ya mpango mathubuti wa elimu bure.

Hongera sana rais Magufuli kwa kupendwa na watu wa rika lote.
 
Elimu ya vitendo,kuna ubaya gani ya watoto wa shule kujifunza elimu ya uraia kwa vitendo?Tena wakimwona Raisi wa Jamhuri ananadi sera za chama chake?
Wanaibua wanasiasa kizazi kipya.
 
Hadi kufikia 2020 nataka niwe nimefuta upinzani ~Jiwe.

Matokeo yake kajifuta mwenyew kwa kauli za kifedhuli akifikiri yeye ndo kila kitu nchi hii.
Kajifuta wapi comrade acha kujipa matumaini hewa. Magufuli ni chaguo la watanzania.
 
Nyumbu akili zenu sijui nani kawashikia!! Picha za ccm unazo ila za mafuriko ya chadema ya vijini huna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hauwezi kuzipost.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Actually ingekuwa sio yule bwana hira kunyang'anya makusanyo ya halmashauri bukoba hapo stendi ingeng'ara.
Ni haki ya wana bukoba kukitaa hicho chama kwa kitendo cha kuwadhurumu michango ya tetemeko.

Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
 
Wengine wapo kupotosha tu.Anafikiri kupotosha Ndio kura zitaingia kwenye box.Moderators mungekuja na uhakiki wa nyuzi.Mkiona huu ni upotoshaji mnaachana nayo.Kwani MTU akishare JF wataonekana waongo
Mkuu JFi imevamiwa na nzige,lakini moderator sijui wako wapi?
 
Ukisikia kuishiwa ndio huku Sasa masikini CCM chini ya Mhutu kwisha kabisa .
IMG_20200915_162803.jpg
 
Aibu ninaiona mimi mwanaccm! Chama chetu kimefutika kabisa mioyoni mwa watu, tunalazimisha kupendea tu!
 
Wahaya siyo wajinga. No kabila lililosoma kuliko makabila yore. Wanapata matatizo, badala ya kufarijiwa wanadhihakiwa. Payback time...!!
 
Back
Top Bottom