technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Uchaguzi umafanyika kesho au unazungumza kesho ya 2025Nyuma ya hao watoto kuna wazazi wao na walimu wao...ila usisahau hao ndio wapiga kura wa kesho!
Usitegemee sana nguvu ya Amsterdam, wekeza kwenye kizazi cha kesho!
Makamanda wa CHADEMA wanadanganywa sana na likes za kwenye mitandao, lakini tarehe 28 hawataamini kwa macho yao.Lakini mkuu usiwe biased mbona tumefuatilia kwenye TV,watu wazima wamejitokeza kwa wingi sana ?Tena katika vitongojo mbali mbali along side ya barabara?
Nikupe neno mkuu acha kutia chumvi haikusadii wala haimsaidii Lissu. Unajipotosha wewe mwenyewe.
Mkuu kamanda ni mtu anaejielewa na anawajibika.Watu sampuli hii ndio wanakidhofisha chama,hata propaganda hawajui,ni mzigo kwa chama.Makamanda wa chadema wanadanganywa sana na likes za kwenye mitandao, lakini tar 28 hawata amini kwa macho yao.
Rais hapaswi “kutofokea” inatakiwa arudi kwetu kwa upole na heshima atuambieNyuma ya hao watoto kuna wazazi wao na walimu wao...ila usisahau hao ndio wapiga kura wa kesho!
Usitegemee sana nguvu ya Amsterdam, wekeza kwenye kizazi cha kesho!
Wengine wapo kupotosha tu.Anafikiri kupotosha Ndio kura zitaingia kwenye box.Moderators mungekuja na uhakiki wa nyuzi.Mkiona huu ni upotoshaji mnaachana nayo.Kwani MTU akishare JF wataonekana waongoLakini mkuu usiwe biased mbona tumefuatilia kwenye TV,watu wazima wamejitokeza kwa wingi sana ?Tena katika vitongojo mbali mbali along side ya barabara?
Nikupe neno mkuu acha kutia chumvi haikusadii wala haimsaidii Lissu. Unajipotosha wewe mwenyewe.
Hao watoto wameenda hapo kwa kupenda kwao?Nyuma ya hao watoto kuna wazazi wao na walimu wao...ila usisahau hao ndio wapiga kura wa kesho!
Usitegemee sana nguvu ya Amsterdam, wekeza kwenye kizazi cha kesho!
Nyuma ya hao watoto kuna wazazi wao na walimu wao...ila usisahau hao ndio wapiga kura wa kesho!
Usitegemee sana nguvu ya Amsterdam, wekeza kwenye kizazi cha kesho!
Hata Mwanza, bila wanafunzi na wanavijiji waliosombwa kwa malori, uwanja ulikuwa mtupu. Mwanza wanafunzi waliambiwa wasivae uniform. Naona Bukoba walisahau kuwaambia.Hi ni aibu ya mwaka
Chama kimokosa mvuto tukiwaambia mnabisha hiki chama bila wasanii haki ya Mungu hakipati watu...
Wengine wapo kupotosha tu.Anafikiri kupotosha Ndio kura zitaingia kwenye box.Moderators mungekuja na uhakiki wa nyuzi.Mkiona huu ni upotoshaji mnaachana nayo.Kwani MTU akishare JF wataonekana waongo