Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Yani Mo Dewji kumtowa demu wake Barbara kwenye magodown yake kumleta Simba hizo ndio akili?Yanga inaonekana hawakufanya due diligence vizuri..kilichobaki kwa mashabiki ni kupamba huyu jamaaa aonekane ndio mzuri anatakiwa...huyu ni mtu wa makando kando Sana ..Iko siku atapiga tukio halafu TFF wamlime mtaanza kusingizia TFF inawaonea...Yanga Kuna uhuni mwingi unafanyika ambao huuoni Simba wakifanya.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani jamaa kama ni mafia sie Yanga ndio atatufaa... hapa duniani mambo yanafanyika gizani yanakuja kusafishwa kwenye mwanga. Hata wewe mimba yako ilitungwa sirini, watu walikua wawili tu... lakini leo unaonekana hadharani na kila mtu.usihamishe magoli wa kujichekesha , issue ya mzungu anzishia mada yake jikite kwenye mada bro
hiyo ya 2007 huko ndola, dawa za kulevya zilikuwa zinapitishiwa posta..2014 ndo alifungiwa na FAZSiasa za mpira tu mkuu. Hapa Africa ukisha sikia tu kesi ya utakatishaji fedha na madawa ya kulevya weka alama ya kiulizo.
siyo kama ni mafia, ni mafioso kabisa, drugs case, immigration..aghYaani jamaa kama ni mafia sie Yanga ndio atatufaa... hapa duniani mambo yanafanyika gizani yanakuja kusafishwa kwenye mwanga. Hata wewe mimba yako ilitungwa sirini, watu walikua wawili tu... lakini leo unaonekana hadharani na kila mtu.
Nenda kwenye siasa, biashara nk.. kote huko ukiwa lege lege na uliyenyooka sana utaishia patupu.
Ishu ni kukamatwa au kukutwa na hatia? Shule gani mnaenda? ni wapi mahakama ilimkuta na hatia?aisee , Riggy G pia alishawahi kupitisha raia wa kenya mpakani bila passport kwanjia za panya? Riggy G alishawahi kukamatwa na KITENGO CHA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA?
Hapa ndo umeonesha kiwango chote cha ujinga wako. Ningekuunga mkono Kwa mengine lakini kusema TPM haina cheo cha CEO katafute uongo mwingine. Mimi si Yanga lakini nawachukia Waongo.imepenya hiyo,na mkome kusema alikuwa CEO mazembe, hawana cheo hicho kule mziki wote unasimamiwa na moise katumbi, halafu jamaa kesi yake ujue ilihusisha madawa ya kulevya kupitishiwa shirika la posta, MONEY LAUNDERING
taja CEO wa tp mazembe wa sasa au yoyote huko nyuma liyewahi kuwa na hiko cheo..kwani unadhani cheo cha CEO kiko kila team duniani?Hapa ndo umeonesha kiwango chote cha ujinga wako. Ningekuunga mkono Kwa mengine lakini kusema TPM haina cheo cha CEO katafute uongo mwingine. Mimi si Yanga lakini nawachukia Waongo.
Hao hao FAZ ndio wamemfungulia wakampa na Ujumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Mpira.hiyo ya 2007 huko ndola, dawa za kulevya zilikuwa zinapitishiwa posta..2014 ndo alifungiwa na FAZ
Atakutana na Msomali Karia roho mbaya.Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
View attachment 2369512View attachment 2369513
[emoji23][emoji2][emoji23][emoji23]Ifike hatua Vunjabei agawe zile kanga bure kabisa kwa mashabiki wa kiume wa Simba wabane kibinda vizuri tuwaone kwa mbali.
NB:
Mleta mada ukiweka hapa tamko la yanga linalosema kuwa huyo jamaa aliwahi kuwa CEO wa TP mazembe nitakununulia kanga za simba doti kumi mvae na familia.
Kumbe unalijua hilo angalia asije akakunaniliuu....(akaku-push samadi) jombaa mana si kwa shobo hizosiyo kama ni mafia, ni mafioso kabisa, drugs case, immigration..agh
Kijana relax hii bongo hapa Kuna mabingwa wa fitina , akijaa tu anapigwa chumaunadhani wajinga hawa kumleta huyu jamaa, huyu ni mtu wa vurugu, kaletwa spesho kwa jili ya Karia na Tff yake, walahi kutawaka moto aisee
kila topolo lazima tusi lake liwe kuzibua mitaro..kuna mambo ya ajabu sana huko maana kuna waraabu wanazibua watu mitaro kwelikweli na kuwapa "life zuri"Kumbe unalijua hilo angalia asije akakunaniliuu....(akaku-push samadi) jombaa mana si kwa shobo hizo
Umerudi kwenye page ya Shoga yako Shafi Dada kusoma alichoposti baada ya hiyo taarifa kuchukua kwake?Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
View attachment 2369512View attachment 2369513
Umerudi kwenye page ya Shoga yako Shafi Dada kusoma alichoposti baada ya hiyo taarifa kuchukua kwake?
View attachment 2369872
HIZO BARUA ZIMETOKANA NA NINI? AUI ZILISHUKA MBINGUNI? HIZO BARUA ZINAKANUSHA KWAMBA HII THREAD IMEANDIKA UONGO?HAKUWAHI KUKAMATWA NA KITENGO CHA MADAWA YA KULEVYA? HAKUWAHI KUFUNGIWA MAISHA NA FAZ? ONYESHA NI WAPI KAFANYA KAZI YA KIMPIRA ZAMBIA FROM 2014-2017 ,PUMBAVU WAHED KABWILI STYLE
HIZO BARUA ZIMETOKANA NA NINI? AUI ZILISHUKA MBINGUNI? HIZO BARUA ZINAKANUSHA KWAMBA HII THREAD IMEANDIKA UONGO?HAKUWAHI KUKAMATWA NA KITENGO CHA MADAWA YA KULEVYA? HAKUWAHI KUFUNGIWA MAISHA NA FAZ? ONYESHA NI WAPI KAFANYA KAZI YA KIMPIRA ZAMBIA FROM 2014-2017 ,PUMBAVU WAHED KABWILI STYLEUmerudi kwenye page ya Shoga yako Shafi Dada kusoma alichoposti baada ya hiyo taarifa kuchukua kwake?
View attachment 2369872
View attachment 2369873
Tunaendelea kuwafuatilia wagonjwa wetu wa Milembe tuliwaruhusu warudi majumbani wewe ukiwa mmojawapo, tafadhali tuambie wapi ulipo ili tukurudishe wodini uendelee na matibabu!HIZO BARUA ZIMETOKANA NA NINI? AUI ZILISHUKA MBINGUNI? HIZO BARUA ZINAKANUSHA KWAMBA HII THREAD IMEANDIKA UONGO?HAKUWAHI KUKAMATWA NA KITENGO CHA MADAWA YA KULEVYA? HAKUWAHI KUFUNGIWA MAISHA NA FAZ? ONYESHA NI WAPI KAFANYA KAZI YA KIMPIRA ZAMBIA FROM 2014-2017 ,PUMBAVU WAHED KABWILI STYLE
halafu kwa taarifa yako hizi habari zimeanzia kwangu siku ya leo hapa JAMII FORUMS kubwa jinga weeee zunguka kote social media walipo post uje ulinganishe na saa sita na dk 2 mchana uone nani alianza ku post
Wewe unayemuona Dauda ni Mungu....hayo ma document inabidi huyo CEO atembee nayo na ndiyo wakamtumia Dauda aya post siyo?
Ungekuwa na akili ungejiuliza hayoma document chanzo chake ni nini? kina tofauti gani na uzi huu, lakini kwa nini nahangaika kujieleza kwa litopolo?
Kwani wewe dada shida yako ni nini amekutelekezea mtoto?HIZO BARUA ZIMETOKANA NA NINI? AUI ZILISHUKA MBINGUNI? HIZO BARUA ZINAKANUSHA KWAMBA HII THREAD IMEANDIKA UONGO?HAKUWAHI KUKAMATWA NA KITENGO CHA MADAWA YA KULEVYA? HAKUWAHI KUFUNGIWA MAISHA NA FAZ? ONYESHA NI WAPI KAFANYA KAZI YA KIMPIRA ZAMBIA FROM 2014-2017 ,PUMBAVU WAHED KABWILI STYLE
halafu kwa taarifa yako hizi habari zimeanzia kwangu siku ya leo hapa JAMII FORUMS kubwa jinga weeee zunguka kote social media walipo post uje ulinganishe na saa sita na dk 2 mchana uone nani alianza ku post
Wewe unayemuona Dauda ni Mungu....hayo ma document inabidi huyo CEO atembee nayo na ndiyo wakamtumia Dauda aya post siyo?
Ungekuwa na akili ungejiuliza hayoma document chanzo chake ni nini? kina tofauti gani na uzi huu, lakini kwa nini nahangaika kujieleza kwa litopolo?
tusi jipya lako ndo hilo la kuzibuana mitaro umelichoka? we hujaona nimemjibu kabwili mwenzako? si kauliza swali asijibiwe...kama huu uzi hamuupendi nyamazeni kimya , mkiandika na mimi naandika hadi kiama cha dunia hiiKwani wewe dada shida yako ni nini amekutelekezea mtoto?