Pascal MayallaUkweli tunatia aibu. nadhani sekta ya habari inahusika na jambo hili. Siliza swali la mwandishi wa valor
View: https://www.youtube.com/watch?v=oN9GvVQGckg
Mliosoma Cuba mneona mjegeje kumbe ule😆😆Ukweli tunatia aibu. nadhani sekta ya habari inahusika na jambo hili. Siliza swali la mwandishi wa valor
View: https://www.youtube.com/watch?v=oN9GvVQGckg
Waandishi wa habari wa Tz wengi ni janjajanja tu lakini hakuna kitu, hawana weledi kabisa, NI KAMA WALIVYO WANASHERIA WETUUandishi wa habari kwa hapa Tanzania sio lazima uwe na shule ya kutosha.
Yeyote anaweza fanya.